Mkataba unasema akiteuliwa au kuchaguliwa mbunge wa nchi mwanachama. “Automatically” huo ubunge wa EALA unakoma! Umeona kipengele cha kumtaka ajiuzulu kwanza???
Kweli nimeamini hakuna aijuaye kesho yake!! Etwege uliyekua ukishangilia upotevu na mauaji ya watu enzi za KAYAFA aka JIWE Leo umekua upande wa wanaolia Lia!! Wakati ule tunalia juu ya mateso ya Lissu kupigwa risasi ulikua ukishangilia na kuhanikiza mateso zaidi juu yake Leo Upo unalia Lia!! Ni...
Lissu ana rekodi ya kamdomo sio utendaji!! Lissu ni mfitini na mzandiki aliyejawa na chuki na upumbavu uliopitiliza kiasi cha kushindwa kuudhibiti mdomo wake.
Inabadilika kwa watu kuvaa pini mkononi kuogopa kuchukuliwa nyeti zao?
Karne hii ya 21 huko Rukwa wameua mwalimu kisa tu kaitwa mwizi wa Nyeti kiuchawi!!
Si TZ tu Bali Afrika nzima safari bado ndefu sana kufikia mental evolution!! Hiyo 2030 tunarudi nyuma zaidi ya tulipokua 2025!! Acha kuota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.