Recent content by Lusungo

  1. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa Angela Kizigha kuwa Mbunge, yadai taarifa ya LHRC ni potofu

    Teh Teh Teh bado unaamini kwenye ile era au au usha move on??
  2. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa Angela Kizigha kuwa Mbunge, yadai taarifa ya LHRC ni potofu

    Mkataba unasema akiteuliwa au kuchaguliwa mbunge wa nchi mwanachama. “Automatically” huo ubunge wa EALA unakoma! Umeona kipengele cha kumtaka ajiuzulu kwanza???
  3. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa Angela Kizigha kuwa Mbunge, yadai taarifa ya LHRC ni potofu

    Nani anatengua? Hivi wabongo mnakuaga na audacity hata kidogo ya kutafuta facts before muongee?
  4. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa Angela Kizigha kuwa Mbunge, yadai taarifa ya LHRC ni potofu

    Kweli nimeamini hakuna aijuaye kesho yake!! Etwege uliyekua ukishangilia upotevu na mauaji ya watu enzi za KAYAFA aka JIWE Leo umekua upande wa wanaolia Lia!! Wakati ule tunalia juu ya mateso ya Lissu kupigwa risasi ulikua ukishangilia na kuhanikiza mateso zaidi juu yake Leo Upo unalia Lia!! Ni...
  5. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa Angela Kizigha kuwa Mbunge, yadai taarifa ya LHRC ni potofu

    Lakini pia inashangaza LHRC Kama hawakuona hiki kipengele cha mkataba wa EAC kabla ya kuja na zile tuhuma.
  6. Lusungo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Watanzania msiwe wanafiki, mteteeni Tundu Lissu anayewapigania

    Endelea kupambania nyeti zako.
  7. Lusungo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Watanzania msiwe wanafiki, mteteeni Tundu Lissu anayewapigania

    Lissu ana rekodi ya kamdomo sio utendaji!! Lissu ni mfitini na mzandiki aliyejawa na chuki na upumbavu uliopitiliza kiasi cha kushindwa kuudhibiti mdomo wake.
  8. Lusungo

    JamiiForums Tanzania Wajameni FATMA KARUME aliishia wapi?

    Hebu acheni tashtiti za kike pambaneni na mambo ya Lissu kwanza nyie madomo debe
  9. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walitufuata na kutupa masharti ili Lissu aachiliwe, tumekataa kuwapigia magoti

    Hata wewe umeshindwa kuuawa kwaajili ya Lissu? Kijana wa hovyo sana 🤣
  10. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walitufuata na kutupa masharti ili Lissu aachiliwe, tumekataa kuwapigia magoti

    Akutetee wewe unaechezeana nyeti mwenzio akiteseka rumande?
  11. Lusungo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walitufuata na kutupa masharti ili Lissu aachiliwe, tumekataa kuwapigia magoti

    Tulisema humu ukiacha zile kelele nyingi za mitandaoni, hakuna kiongozi wa hovyo na goigoi Kama Heche!!
  12. Lusungo

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Ko Lissu kashindwa kujipambania kwa ujuaji mwingi wa sheria?? 🤣🤣🤣
  13. Lusungo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    🤣🤣🤣🤣
  14. Lusungo

    JamiiForums Tanzania Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Inabadilika kwa watu kuvaa pini mkononi kuogopa kuchukuliwa nyeti zao? Karne hii ya 21 huko Rukwa wameua mwalimu kisa tu kaitwa mwizi wa Nyeti kiuchawi!! Si TZ tu Bali Afrika nzima safari bado ndefu sana kufikia mental evolution!! Hiyo 2030 tunarudi nyuma zaidi ya tulipokua 2025!! Acha kuota...
Back
Top Bottom