Recent content by Lusungo

  1. Lusungo

    Vijana wa CHADEMA oneni aibu mmeshindwa kumpambania Lissu

    Lakini ana pointi. Mmebaki kufurahia vifo na kudakia dakia agenda za kipumbavu mitandaoni mmemsahau Lissu!! Nyie ndo aliwategemea kukinukisha?
  2. Lusungo

    Askofu Gwajima: Baba yangu aliniambia "watakuua" nikamwambia hafi mtu hapa

    Ongezea na alijificha.... mhuni na tapeli sana huyo jamaa 🤣
  3. Lusungo

    ICC naanza kuwaona ni wazembe

    Mna utoto mwingi sana!!
  4. Lusungo

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    Mtoto akililia wembe mpe!!
  5. Lusungo

    Tetesi: Inasemekana pamoja na kujipendekeza kuhudhuria msiba wa Pengo lakini hajatambuliwa, yaani hakutajwa popote

    Hukuangalia ibada? Hata Wasira na Rose Migiro walitambulishwa!! Mna mambo ya kitoto sana kuota ndoto za mchana!!
  6. Lusungo

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Bado hujathibitisha!! Unaleta habari za hisia na umbea
  7. Lusungo

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Una akili ndogo sana!! Hapo wapi nimeonesha kushangilia?? Huyo niliyekua namjibu Umesoma tone ya ujumbe wake na nilichomjibu? Bado hujaleta ushahidi wa wapi nimefurahia kifo au kutekwa kwa watu!!
  8. Lusungo

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Hii Lugha wengi wao hawawezi ielewa!! Ndio maana Polepole alipuuzwa sana na wanaCCM wenzie akawa anapendwa na kuliliwa na waliojiita wana mageuzi!!! Shida kuu ya Polepole ilikua ni Samia si vinginevyo!!
  9. Lusungo

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Lete ushahidi mahali nilipofurahia mtu katekwa na kuuawa!! Lete quote yangu ikionesha hayo vinginevyo unaleta habari za umbeya na uchimvi!
  10. Lusungo

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Siku moja tulisafiri pamoja naye akiwa Katibu wa itikadi na uenezi enzi za Magufuli nikabahatika kumuuliza maswali kadhaa na alinipa majibu yaliyonishangaza sana juu ya hawa watu walioamini Magufuli alikuwa masihi oengine baada ya Yesu! Nilimuuliza huoni hii biashara yenu ya kununua wabunge wa...
  11. Lusungo

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Nimecheka sana!! Etwege alifurahia sana kupigwa risasi Lissu kipindi cha jiwe! Leo anaamini Jiwe hakutendewa haki na akina Samia sasa kaungana kwa akina Lissu ili kuwakomoa akina Samia 🤣🤣🤣🤣 Maisha ni safari ndefu sana isiyokua na likizo 🤣🤣🤣.
  12. Lusungo

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Na wanakua wajinga haswa maana wanaji contradict kwa matendo yao!! Polepole aliamini Mungu ni wake alipokua upande wa wanyanyasaji na kushadadia ule ukatili wa Magufuli dhidi ya binadamu wenzie akiwemo Lissu!! Alienda mbali zaidi ya kujiona mjamaa aliyekomaa na kuamini yeye na alichopambania...
Back
Top Bottom