Una akili ndogo sana!! Hapo wapi nimeonesha kushangilia?? Huyo niliyekua namjibu Umesoma tone ya ujumbe wake na nilichomjibu?
Bado hujaleta ushahidi wa wapi nimefurahia kifo au kutekwa kwa watu!!
Hii Lugha wengi wao hawawezi ielewa!! Ndio maana Polepole alipuuzwa sana na wanaCCM wenzie akawa anapendwa na kuliliwa na waliojiita wana mageuzi!!!
Shida kuu ya Polepole ilikua ni Samia si vinginevyo!!
Siku moja tulisafiri pamoja naye akiwa Katibu wa itikadi na uenezi enzi za Magufuli nikabahatika kumuuliza maswali kadhaa na alinipa majibu yaliyonishangaza sana juu ya hawa watu walioamini Magufuli alikuwa masihi oengine baada ya Yesu!
Nilimuuliza huoni hii biashara yenu ya kununua wabunge wa...
Nimecheka sana!! Etwege alifurahia sana kupigwa risasi Lissu kipindi cha jiwe! Leo anaamini Jiwe hakutendewa haki na akina Samia sasa kaungana kwa akina Lissu ili kuwakomoa akina Samia 🤣🤣🤣🤣
Maisha ni safari ndefu sana isiyokua na likizo 🤣🤣🤣.
Na wanakua wajinga haswa maana wanaji contradict kwa matendo yao!! Polepole aliamini Mungu ni wake alipokua upande wa wanyanyasaji na kushadadia ule ukatili wa Magufuli dhidi ya binadamu wenzie akiwemo Lissu!! Alienda mbali zaidi ya kujiona mjamaa aliyekomaa na kuamini yeye na alichopambania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.