Recent content by lusubilo lucas

  1. lusubilo lucas

    Hivi kwanini Lowassa anachukiwa na viongozi wa CCM?

    Hivi kama wewe nimffuatiliaji mzuri wa vyombo vya habari na mambo ya taifa lako unaweza kusema Lowassa sio Fisadi, Au unaougonjwa wa kusahau au una maslai binafsi, tuambie ni kazi gani ambayo Lowasa amechapa? Kashfa ya richmond ni moja tu amehusika katika mambo mengi ya kulihujumu taifa hili
  2. lusubilo lucas

    SAMSUNG GALAXY TABLET 10.1 BEI ni 450k

    Bei~450k contacts~0779142033
  3. lusubilo lucas

    Hp elitebook laptop bei naafuu

    hp elitebook 6930p ina webcam ram 2gb hhd 120gb processor 2.4 price~~370,000 contacts~~0779142033
  4. lusubilo lucas

    Samsung galaxy tablet 10.1 bei nafuu

    samsung galaxy tablet 10. Used but in good condition supports simcard 16gb internal memory inakubali whatsapp,viber........... Price~~550,000 contacts~0779142033
  5. lusubilo lucas

    Vunjo la bei mwezi wa chrismas

    samsung digital camera es95 price---170,000/ megapixel 16.1 2 years warranty contacts--0779142033 kwanini ununue sasa 1. Bei ndogo ukilinganisha na bei kwengine ni zaidi ya laki mbili 2.kila siku unayo ishi iwe shida au raha haiji kujirudia hivyo ni vizuri utunze kumbukumbu zako na wale...
  6. lusubilo lucas

    Used camera bei nafuu

    7x digital zoom
  7. lusubilo lucas

    Used camera bei nafuu

    model:hp photosmart 945 5.3 megapixel auto focus 8x optical zoom price: 180,000/= contact: 0779142033
  8. lusubilo lucas

    Bei nafuu vifaa vya stationary

    hp printer 4 functions(print,copy,scan and fax) officejet 4500-----350,000/= usb flash lg,sony,trascend 2gb------------------------------------------7000/= 4gb------------------------------------------8000/=...
  9. lusubilo lucas

    Jipatie bidhaa za electronic kwa bei nafuu

    1. LAPTOP (Elitebook 6930p ,HHD-250GB)-----------------------------------------600,000/= 2.FLASH 16 GB---------------------------------------------------------------------25,000/= 3.FLASH 8 GB----------------------------------------------------------------------10,000/= 4.FLASH 4...
  10. lusubilo lucas

    Taarifa: Mwongozo wa Utoaji Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)

    Tusaidiane wakuu Jina la saccos na mahali zilipo tuchangamkie hizi fursa
  11. lusubilo lucas

    msaada wadau nahitaji laine ya tigo pesa

    call me 0714918741
  12. lusubilo lucas

    Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

    Vijana tuwe wise mama porojo amebandika barua na anaomba uchunguzi ufanyike na uongozi wa chadema kwa manufaa ya watu wa arusha na kujenga uongozi bora ndani ya chama cha chadema.kwanini tunadakia kuanza kupinga haraka.kama mtu ameleta tuhuma basi zichunguzwe kiundani ili ukweli uwe wazi.Ni...
  13. lusubilo lucas

    Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

    Mkuu umekuja na hoja nzuri kama tunataka kujenga chama imara pinzani ni lazima tukosowe pale inapohitajika inanishangaza sana kila anaekosoa eti gamba.Maana ni njia moja ya kukosoa kwa nguvu ndio itaonesha kwamba watu wako makini ata viongozi wetu watakuwa makini zaidi.PEOPLES GET THE LEADERS...
  14. lusubilo lucas

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Unajua waislami mjirekebishe sana mi nimejaribu kufuatilia maisha ya waislamu waliosoma na kufanikiwa kimaisha ni watu wazuri sana nimekaa jirani na muislam kutoka iran alikuwa mtu mzuri na alikuwa anahimiza watoto wake kwenda shule sana sio madrasa sana,saizi ninaishi na waislam wa Iraq wote...
  15. lusubilo lucas

    Leo ni siku ya kukumbuka kifo cha hayati Mwalimu J.K. Nyerere

    wewe ndio tukuulize unafanya haya kwa maslai ya nani? kila mtu mwenye akili timamu anajua Nyerere ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo watanzania
Back
Top Bottom