Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Habari wanajamvi.
Ninaposema leo ni siku ya kukumbuka kifo cha hayati Mwl. J. K. Nyerere sina maana kuwa watu hawajui, la hasha. Ila ninachotaka kuongelea ni juu ya sintofahamu ya ustahimilivu wa serikali yetu tukufu inayoendeshwa kwa hisia za KUSADIKIKA.
Neno hili limetumika vibaya sana katika utawala wa Rais wa awamu ya nne. Baadhi ya mifano hai ya matumizi ni: (nitaanza na mpya)
1. Inasadikika vijana wenye siraha wameandaliwa ili kufanya fujo wakati Mh. Rais atakapo wasiri shinyanga hata hivyo polisi imeimalisha ulinzi.
2. Inasadikika RPC wa Mwanza ameuwawa na majambazi.
3. Inasadikika David Mwangosi alitumwa na CHADEMA kupigana na polisi.
4. Inasadikika kijana aliyeuwawa mjini Morogoro alipigwa na kitu kizito chenye ncha kali kinachosafiri angani.
5. Inasadikika mtu aliyemteka Dr. Ulimboka ni mkenya.
6. Inasadikika wabunge wa CHADEMA waliovamiwa mwanza walivamiwa na majambazi na kujeruhiwa.
7........
Ni baadhi tu ya matukio ya KUSADIKIKA, Swali je, ikitokea siku ikaSADIKIKA kuwa nchi imeuzwa na tumekuwa watumwa napo itakuwa KUSADIKIKA?
Ninaposema leo ni siku ya kukumbuka kifo cha hayati Mwl. J. K. Nyerere sina maana kuwa watu hawajui, la hasha. Ila ninachotaka kuongelea ni juu ya sintofahamu ya ustahimilivu wa serikali yetu tukufu inayoendeshwa kwa hisia za KUSADIKIKA.
Neno hili limetumika vibaya sana katika utawala wa Rais wa awamu ya nne. Baadhi ya mifano hai ya matumizi ni: (nitaanza na mpya)
1. Inasadikika vijana wenye siraha wameandaliwa ili kufanya fujo wakati Mh. Rais atakapo wasiri shinyanga hata hivyo polisi imeimalisha ulinzi.
2. Inasadikika RPC wa Mwanza ameuwawa na majambazi.
3. Inasadikika David Mwangosi alitumwa na CHADEMA kupigana na polisi.
4. Inasadikika kijana aliyeuwawa mjini Morogoro alipigwa na kitu kizito chenye ncha kali kinachosafiri angani.
5. Inasadikika mtu aliyemteka Dr. Ulimboka ni mkenya.
6. Inasadikika wabunge wa CHADEMA waliovamiwa mwanza walivamiwa na majambazi na kujeruhiwa.
7........
Ni baadhi tu ya matukio ya KUSADIKIKA, Swali je, ikitokea siku ikaSADIKIKA kuwa nchi imeuzwa na tumekuwa watumwa napo itakuwa KUSADIKIKA?