Recent content by Lusato

  1. Lusato

    Gari lampeleka mmiliki hospitalini

    Wakili mmoja nchini Marekani Joshua Neally alipelekwa hospitalini na gari lake la umeme Tesla linalojiendesha baada ya mishipa ya damu kuganda na kumsababishia uchungu mwingi kifuani. Neally anayemiliki gari aina ya Tesla X alikuwa akielekea nyumbani kwake katika mji wa Springfield, Missouri...
  2. Lusato

    Samaki waotesha wanaume matiti, wanawake ndevu

    Mbeya. Samaki wanaoingizwa nchini wakitokea nchi jirani wanadaiwa kusababisha madhara ya kiafya ikiwamo wanaume kuota matiti na wanawake kuota ndevu. Samaki hao huingizwa nchini kupitia mipaka ya Kasumulu-Kyela na Malawi na ule wa Tunduma na Zambia. Kutokana na uwapo wa taarifa za samaki hao...
  3. Lusato

    Porte Toyota inauzwa

    Ni mpya na haidaiwi Price 11m Kwa mawasiliano nicheck kwa Mob:0714375365
  4. Lusato

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Jamani hili swala la kukatika katika kwa umeme kumezidi.
  5. Lusato

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Jamani jana muda kama huu umeme ulikatka tena MBEYA... Na hakuna tamko!!!!
  6. Lusato

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Habari wanajanvi!!!!!!!! Kumekuwa kuna tatizo la kukatika katika kwa umeme kwa zaidi ya wiki mbili sasa bila taarifa yoyote kutoka kwenye mamlaka husika yaani Tanesco! Kulikoni jamani? Na kama kuna mgao kwann msitoe taarifa ili tujue kuliko kutukatia umeme bila habari, na kitengo chenu cha...
  7. Lusato

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kweli baba unaweza mechi ata zaidi ya tano chamsingi kasi yako yakuchagua timu!!!
  8. Lusato

    Magufuli akishinda urais, maslahi ya wafanyakazi yatadorora

    Hahaha hahaha! Naanza kwa kucheka kwa sababu wengi wanao mpnga Magufuli, ni wavivu wa kufanya Kazi na kufkiri, ni ile mijitu ikiingia ofcn. N mijitu ya kupga soga badala ya kufanya Kazi sasa kaen kujua chuki zenu, fitina, roho zenu mbaya. Zimegonga mwamba! Na habar ziwafkie yy ndio rais wa nchi...
  9. Lusato

    WhatsApp kwenye iPad!

    iPhone mpya znakubal bla shida ila issue inakuja kwenye ipad na hasa ukiupdate ios na ikawa 8 ndio shida inapo kuja ila naamin njia ipo ya kupata what's app kwenye ipad tusubiri muda c mrefu mambo yatakuwa poa.
  10. Lusato

    Chama cha ACT - Wazalendo kuzunguka nchi nzima na Yamoto Band

    Ni haki yao kwani kutembea na wasanii ni dhamb? Burudan ipo kla mahali hata misiban kuna kuwa na burudan sembuse kwenye siasa??!
  11. Lusato

    ACT Wazalendo yapata viongozi Kitaifa, Anastazia Mghwira awa Mwenyekiti wa kwanza Kitaifa

    Watanzania sisi ni wanafki na wazandiki! Alcho kifanya Zitto sio kibaya na wabaya n wale wasio taka mabadiliko ndan ya chama chao wanamsukia zengwe Zitto ili waonekane wema mbele ya Jamii, kiukweli huo uzushi wa kujifanya wema na wazalendo wa nchi wachache wenye akili tumewagundua. Fanyeni...
  12. Lusato

    Gari aina ya Mark X (Mark II) inauzwa

    Nmerekebisha
  13. Lusato

    Gari aina ya Mark X (Mark II) inauzwa

    Mark X inauzwa bei poa ni mpya kabisa na imelipiwa kodi(kila kitu), engine ni 2.5, ni toleo la 2007/2008, imetembea km:550000 na bei yake ni 24m pia ni salama kabisa kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa namba: 0714375365 au Email: mpambano40@gmail.com
  14. Lusato

    Gari linauzwa

    Gari aina ya haice Nissan Caravan inauzwa, ni Automatic na inatumia Petrol pia imetembea miezi saba(7) tu! na imetembea km140000 haina tatizo lolote kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu no: 0714375365 au Email: mpambano40@gmail.com
Back
Top Bottom