Tumia huu muda wa likizo kurekebisha hiyo hali, maana unakoelekea ni kuvunja ndoa yako.
Achana na huyo mchepuko maana hata ukivunja hiyo ndoa ya mmeo akupendaye huyo kijana hatalea hao wanao.
Lakini pia jitahidi kuwa unamuomba mmeoa aje ulipo walau kila miez 2 au wewe uhakikishe kuwa unaenda kwa...
Ni kweli aamekataa hata mimi japo sihusiki na hiyo issue lakini nimejisikia vibaya,watu wamebomolewa mijengo yao wanalalamika jamaa linasema subilia siku ya kazi mama kazi anayo aisee...
Huku sasa waenda mbali, unaweza kulala chini,kulala na joka kubwa ndani kutoa kafara nduguzo, kuku adonoe punje za mahindi kadhaa,miguu kuwa na kidonga ngudu au kuwafanya uwapendao machizi na mengne mengi unaweza kuwa kama wao japo siyo wote walifanya hayo wengine pesa zao za halali migodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.