Chadema achana kabisa na wanaCCM.Chukua the youngs,energetic,the (Mnyika,Silinde,Zitto,Lema,Sugu,Halima Mdee etc)likes.Nchi tunataka ichukuliwe na vijana wakiongozwa Dr Slaa-2015 siyo mbali.Vijana wa CCM wamelewa utajiri wa kifisadi wa wazazi wao.Achana nao kabisa.