MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Ni sawa CHADEMA ina mashabaki haina wapiga kura hahahaaaaa!! Acheni kuchakachua muone kama kweli CHADEMA ina mashabiki tu haina wapiga kura
Tofauti kubwa ni ccm ina wanachama na cdm ina wafuasi. Wanachama ni more committed kuliko wafuasi. Tofautisha members and followers. Tofauti nyingine kubwa ni kwamba ccm ni chama cha siasa wakati cdm ni chama cha wanaharakati.Sawa MKUU umenena. Kwenye mfumo wa vyama vingi SI LAZIMA ukipigie chama chako ILA yule mgombea UNAYEMKUBALI (Unaye-Mshabikia). Hivyo "Pool" la wapiga kura ni la wote.
Kimbunga cha kuanguka kwa CCM 2015 kinawasubiri pamoja na propaganda zenu.Hii ni kweli na sio uongo. CHADEMA kusema kweli imeteka watu wengi na kujiibulia washabiki wengi sana. Bali inawapiga kura wachache.
Unajua kura ni siri: Mtu anaweza akamshabikia mgombea fulani lakini ikifika wakati wa kupiga kura palepale ana badili na kumchagua mwingine, halafu akitoka anaendela kukushabikia.
Hii ndio inayo wacost CHADEMA itabidi wabadili mfumo si kufurahia ushabiki wa watu. Wawatake watu wawe na vitabulisho vay kupiga kura. pili wawaombe watu waende kupiga kura.
Au mnaonaje?
hii ni kweli na sio uongo. Chadema kusema kweli imeteka watu wengi na kujiibulia washabiki wengi sana. Bali inawapiga kura wachache.
Unajua kura ni siri: Mtu anaweza akamshabikia mgombea fulani lakini ikifika wakati wa kupiga kura palepale ana badili na kumchagua mwingine, halafu akitoka anaendela kukushabikia.
Hii ndio inayo wacost chadema itabidi wabadili mfumo si kufurahia ushabiki wa watu. Wawatake watu wawe na vitabulisho vay kupiga kura. Pili wawaombe watu waende kupiga kura.
Au mnaonaje?
Chadema kinaongozwa kwa kuwa na mashabiki huku ccm ikiwa na wanachama.wafia chama.wapiga kura. 2015 chadema ndo inaenda zikwa.
Chadema kinaongozwa kwa kuwa na mashabiki huku ccm ikiwa na wanachama.wafia chama.wapiga kura. 2015 chadema ndo inaenda zikwa.
Subiri wapiga kura waandikishwe ndo mtalijua jiji.
Chadema kinaongozwa kwa kuwa na mashabiki huku ccm ikiwa na wanachama.wafia chama.wapiga kura. 2015 chadema ndo inaenda zikwa.
Chadema kinaongozwa kwa kuwa na mashabiki huku ccm ikiwa na wanachama.wafia chama.wapiga kura. 2015 chadema ndo inaenda zikwa.
Itakuwa Ni ndoto ya mchana ukweli CCM haishindi kihalali chaguzi nyingi bali ni kwa kuiba kura, rushwa na kutumia vyombo vya dola ndo maana hakitaki Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo yatundikwe vituoni moja kwa moja maana kinajua hakitarudi madarakani na chaguzi hakitashinda sababu wananchi wamekichoka kwa kuwa kimeshindwa kutatua mambo muhimu kwenye uchumi ambayo ni mfumuko wa bei, ajira, huduma za jamii na maisha bora kwa watanzania sababu watawala wa CCM ni wezi na mafisadi wapo kwa ajiri ya matumbo yao
Hilo ni kweli. Kitu muhimu kabisa kwa CDM ni kudai kila aliyetimiza umri wa kupiga kura apewe fursa ya kuandikishwa.
Sehemu kubwa sana ya vijana ni 'mashabiki wa CDM' lakini hawapo kwenye daftari la wapiga kura.
CDM isaidie vijana kufungua kesi za kunyimwa haki ya kikatiba ya kupiga kura. Kuwe na vijana watakaotafuta court order ya kuzuia uchaguzi mdogo unaokuja mpaka wapewe haki ya kushiriki kwanza.
Subiri wapiga kura waandikishwe ndo mtalijua jiji.
CCM hawataki kuandikisha wapya kwa kusema hakuna pesa European Union wamesema watatoa pesa CCM wanadai hizo pesa kwanini zisiende mahospitali? Yaani wanatafuta sababu Tu kutoongeza New Generation kwenye daftari la wapiga kura Mara waseme mwisho mwaka huu kuandikisha wakati wanajua next year Kuna maelufu watakuwa na miaka 18. Iwapo wanawiwa vile na huduma za afya? Wapunguze allowance ya kukaa bungeni kwa siku, wapunguze safari za nje na warudishe mabilioni walioficha Uswiss yanatosha kujenga Muhimbili 10 mpya zenye vifaa vya kisasa pia kujenga viwanda tukawa na ongezeko la ajira
Itakuwa Ni ndoto ya mchana ukweli CCM haishindi kihalali chaguzi nyingi bali ni kwa kuiba kura, rushwa na kutumia vyombo vya dola ndo maana hakitaki Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo yatundikwe vituoni moja kwa moja maana kinajua hakitarudi madarakani na chaguzi hakitashinda sababu wananchi wamekichoka kwa kuwa kimeshindwa kutatua mambo muhimu kwenye uchumi ambayo ni mfumuko wa bei, ajira, huduma za jamii na maisha bora kwa watanzania sababu watawala wa CCM ni wezi na mafisadi wapo kwa ajiri ya matumbo yao