Inaweza kutokea, lakini kawaida ni kwa sababu za kipekee. Kwa mfano, kama nchi inakabiliwa na vita au mazingira hatari ambayo yanazuia uendeshaji wa ligi ya ndani, basi klabu inaweza kuamua kutafuta fursa ya kucheza ligi katika nchi nyingine. Hata hivyo, hii inahitaji idhini na ushirikiano wa...
nilikuwa napitia pitia vichwa vya habri ,Nikakutana na hii Sijui wenzangu wenye michezo yenu mnaionaje hii.Je itakwenda kutia chachu na kuinua soka letu Tanzania ? Je ndio kusema ligi yetu imekuwa kubwa mpka kufika huku ? Sababu walikuwa na uwezo kwenda moroco,south,congo lakini why Tanzania...
Habarini wapendwa.
Leo nimekaa nikawa nimepitia. Insta nikaona x kapost picha yake nikakumbuka neno mmoja mabalo nalikumbukka mpka leo liliniuma sana.
Alinisumbua sana ikafika mahali nilipewa mapumziko hospital, sasa kwenye kumpigia kumwambia nimelazwa ,bwana ee alinitext ".
Utajua mwenyewe...
@INSIDER MAN iyo mambo ya parking terminal 3 kupigwa chain mimi yalinikuta mwenzio yani kwenye parking tairi laa mbele sikulinyoosha likakaanyaga mstari wa njano maan nilikuwa naharaka nilikuwa namuwhisha mama ako mdogo ,sasa niliporudi nikakuta Chain mzee niliangaika naa wale askari nikawaambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.