Recent content by LUOLE

  1. L

    Lugha chafu kwa wauguzi wa kike mbeya hospital

    Baadhi ya Wauguzi wa kike ktk hospitali ya mkoa wa Mbeya ni kama si wanadamu jinsi wanavyowafanyia wakina mama wajawazito.Mfano ,mke wangu aliambiwa mtoto amekufa na matusi makubwa makubwa ajabu mke wangu alijifungua mtoto mzima.Baada kufanya utafiti nimegundua kuwa kauli za mtoto amekufa...
  2. L

    Wanaharakati waililia mwanaHalisi

    TANGU LIMEFUNGIWA NLISHAACHA KUNUNUA MAGAZETI KWANI HATA YALIYOBAKI HAYAWEZI KUWA WAZI ZAIDI KWA YANAOGOPA KUFUNGIWA.:target:
  3. L

    Jamani TBC

    Siamini ninachokiona tbc ,hili ni shirika la taifa la utangazaji , nashangaa linashindwa kurusha mechi za AFCON.Miaka ya nyuma itv walikuwa wanarusha kwa sasa wakati wa sayansi na technojia hawarushi.JIPANGENI MTUFURAHISHE WA WATANZANIA.TTAKRIBANI MASHIRIKA UTANGAZAJI YA MATIFA MENGINE...
  4. L

    Habari njema kwa wale wanaotaka kujiajiri wenyewe

    ninaamini maisha yenye amani ni kufanya kazi kwa bidii na malipo kadiri ya kazi.Wapi na wapi 12000 kwa 20m utapeli huo watz fungukeni mnaopenda dezo dezo zinaua na kuharibu maisha.:israel:
  5. L

    Binti alotiwa mimba.....

    nimeipenda mkuu
  6. L

    Tiba ya chronic nematodes

    Nashukuru mkuu,kila mara madaktari wanasema nina trichuris na giardia worms .Nimetumia dawa mbalimbali hata za kuharibu cyst lakini bado tatizo lipo.
  7. L

    Tiba ya chronic nematodes

    nimekuwa nikisumbuliwa na aina mbalimbali za nematodes tangu mwaka 2005.Nimetumia dawa mbalimbali lakini bado tatizo lipo na huwa naambiwa hao nematodes wamekuwa sugu mpaka wanatengeneza cyst , naombeni ushauri
  8. L

    BVM BVM BVM Ni Nouma

    kweli science inayohusisha biology na chemistry ni ngumu
Back
Top Bottom