Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,536
kama kipeperushi na gezeti ni kitu kimoja poa. ila mimi nakushauri ukitaka kuwa na uhakika kwamba hapo nani atachukuliwa hatua; basi jaribu kuandika.je leo hii mim nikiandika vipeperushi vya uchochezi kama mnavyoita na kuweka jina langu pamoja na address yangu niliyeandika.
Je, vitahukumiwa vipeperushi au nitahukumiwa mimi niliyeandika!!!!!!
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!