Loan board hawapo makini kwenye suala LA kufuatilia watu wanaofanya kazi kwenye taasisi zote maana k una watu wengi sana walianza kazi longtime wanashangaa kwanini hawajaanza kukatwa inatakiwa wafuatilie na kutoa adhabu kwawaajiri kama mifuko ya kijamii inavyofanya
Pole sana mkuu, kutapeliwa ni nomaa, me nishawaikutapeliwa na jamaa yangu Wa karibu wanajiamini sana yaani mtandao wao ni hatari wana roho ngumu ila wamenifundisha so hata wewe iwe ni mapito tu kwako maana hata ukimpata huwezimfanya kitu
Ni kweli ila taratibu hizo hazifuatwi saana mimi kuna siku nilichelewa airport yaani nafika nasikia tangazo wananiita jina nilikuwa naenda Nairobi na Kenya airway na injini ilishawashwa na milango ilishafungwa but thanks God waksnifungulia cjui ilikuwa ni Bahati yangu but ni muhimu kuwahi Kama...
Umenikumbusha mbali Sana, ilishawahi kunitokea siku moja nimetoka Dar kwenda mlandizi nikafika SAA moja jioni nilikuwa na shemeji yangu yeye alikuwa anaishi hapo hapo mlandizi ila waligombana na mume wake so alipokuja Dar kusuluhishwa ndio nikaambiwa nimsindikize na Mimi mlandizi nishawahi...
Cable ndio rahaa unalipa 20000 per month na kujiunga laki mbili na nusu huku arusha then unacheki game zote muhimu za ulaya hasa ligue one, EPL, laliga, serie A,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.