Recent content by Lunovar

  1. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Ni muda wa serikali kukaribisha wawekezaji kwenye barabara zetu

    Ni utaratibu mzuri tu utengenezwe maana lengo kuu ni ustawi wa mwananchi na uchumi wa nchi sio kwa kukomoa mwananchi kwa manufaa ya mtu binafsi
  2. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Ni muda wa serikali kukaribisha wawekezaji kwenye barabara zetu

    Serikali ipo vzr kwenye hiyo sector ya ukusanyaji
  3. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Nikipata hela lazima nitamiliki pisi kali

    Hii ni maajabu
  4. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Ni muda wa serikali kukaribisha wawekezaji kwenye barabara zetu

    Kiukweli mi naona kwenye swala la maendeleo ya barabara katika nchi hii serikali imeshindwa kabisa. Barabara nyingi nchini na muhimu kwa ustawi wa uchumi wa nchi ni mbovu kupita maelezo na cha ajabu unakuta ndio barabara ambazo hata viongozi hutumia kwenda kwenye shughuli zao. Nitolee mfano wa...
  5. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Kama alikua anaishi kwa kujificha aliyetoa taarifa hiyo kuwa haonekani ndio awe wa kwanza kuulizwa yupo wapi
  6. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Nadhani kuna kitu tumefichwa kuhusu mwenge

    Waungwana nafikiri tumefichwa au mi sijui kuhusu mwenge au huu moto unauzungushwa karibu nchi nzima. Kwani unamaana gani kwa ustawi wa nchi maana inafika hatua watu wanakosa utu kwa binadamu wenzao. Nimeona clip moja inayosambaa wale askari walivyomfanyia mwananchi kile kitendo kisa tu mwenge...
  7. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Hii ni kazi kweli au mi ndo kazi?

    Nimeshtuka nikaamue kwanza nipate kwanza ushauri kabla ya maamuzi
  8. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Hii ni kazi kweli au mi ndo kazi?

    Nipo kwenye group fulani hivi la WhatsApp likatumwa tangazo la ajira kutoka Pepsi (nimeambatanisha hapo) lilikua linahitaji vijana wa kuwaajiri na mimi nikajaribu kuomba hapo baada ya siku kadhaa wakanijibu hivyo(nimeambatanisha pia). Watu mliopata bahati ya kuajiliwa kwenye makampuni makubwa...
  9. Lunovar

    JamiiForums Tanzania KERO Trafiki (Askari wa barabarani) wanasumbua sana barabarani hasa kwa madereva lori

    Hawa trafik wa wa morogoro na pwani wanasumbua sana unakuta anaamua tu kukupotezea muda bila sababu. Kuna siku nilisimamishwa na trafiki nikasimama cha kishangaza badala ya kuniambia sababu ya kunisimamisha akawa yuko bize anaongea na simu. Nilichokifanya nikaamua kuondoka tu akanipiga faini...
  10. Lunovar

    JamiiForums Tanzania DC Temeke: Mtu akipiga Picha na hela akamatwe

    Kuna mwingine wa mkaa. Ni marufuku kubeba mkaa kwenye pikipiki
  11. Lunovar

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Tanzania wengi wao ni wa OVYO.

    Wazee Wazee mlikua mnadanganywa sana yaan mnaambiwa a bullet can turn into water na mnakubali🤔🤔🤔 kijengetile aliwaokota sana at least vijana wa sahiv tunaweza hata ku protest kuhusu siasa mtushukuru sisi vijana ndo tumewatia moyo wa kuongea wazee wa zaman walikua ni hovyo sana
Back
Top Bottom