Enyi wanawake mkishapata watoto na waume zenu msijisahau kuwa waume zenu ndio watoto wenu wa kwanza. Maana wao ndio wakwanza kuwanyonyesha kipindi mnapata watoto
Wanaume 5 mstari wa 7 unasema
Mwanamke ni mzuri na mtamu kwa mwanaume anayemfukuzia huyo mwanamke kabla hajamvua nguo na kumla. Akishamla hana utamu tena na uzuri bali kinachobaki ni je mwanamke huyo anaweza kumpa amani na faraja mwanaume? Kama hawezi basi ataonekana kituko tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.