Hahaaaa.....Mimi Kila mwenzi Nina utaratibu wa kujizawadia kwenye mapato yangu pesa hiyo ipo....nijibane nisile kuku wa kujipongeza Ati nasubiri uzeeni vp dhahma za uzee usile hichi usile kile hahaàaaa kuku ninakula angali ni kijana.....sinywi pombe Wala kilevi chochote....
Me nilibaki kidogo sana si Kwa kujiua ila nilimwambia Mungu nichukue tu au uniondolee dhahma zilizokuwa zimenizunguka .Mungu alisimama asubuhi ...akanifuta machozi.....niliomboleza usiku kucha nalia sijawahi Lia mbele za Mungu hivyo.....Naposema asubuhi ni asubuhi nikiwa nimevimba macho Kwa...
Jamaa alikuwa na marehemu Ephraim Kibonde kipindi Cha jahazi aisee walikuwa wanaleta ladha ya ajabu.....kile ki George Bantu...kinatia huruma aisee amebaki mwenyewe sijui itakuwaje...
Ndugu Yako ni Ndugu tu damu ni damu ndiyo maana ukifa watauliza Ndugu zake wako wapi....? Usidharau Wala kutweza hata kama huelewani nao Wana umuhimu mno mno....
Kufanya kazi na majaamaa ya kichaga Raha sana machapa kazi Yana akili na hayakai kindezi...Sina ukabila na siupendi ila huo ni ukweli wachaga ni watu poa sana...asikiaye na afahamu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.