Alinifurahisha ile video ofisini walikuwa wananiimbia kama salamu asbh nilikuwa nacheka sana...niliwaambia kweli mimi nahitaji buradi ofi jizazi....everedeye....bila hivyo mimi si kitu..Mungu ampumzishe kwa Amani .
mimi ukichaa wangu huja nikipandwa hasira kiasili nachelewa sana kukasirika ila bahati mbaya yakinifika hapa nikakushindwa kwl utasema huyu kichaa kilikuwa kimelala wengi huniuliza hivi fulani ni ww kwl ?ila hutokea kwa nadra sana.
Wewe unakula cake Hongera kuna sisi kina kajamba nani tuko nje wewe umeshiba ....sisi tuna njaa ila Gwajima yule siyo mwenzako ...kuna damage kubwa inatengenezwa kubwa mno sijui kama kuna weńye jicho la tatu wanaiona......kubwa mno mno
Haya maisha bhana usidharau mtu huwezi jua ni gundu gani la kutopata Kazi alikuwa nalo ila mwaka uliomfukuza ndio alikuwa anatoboa ...apate tobo..mi ningemwacha tu asingeweza kukaa milele .as King as ananiheshimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.