Recent content by lulu za uru

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kidini unaruhusiwa kumuoa mtoto wa nje ya ndoa - Sheikh Kulunge

    Wanawake wakiwa wapi mpaka ujirudie viuno baako laana hiyo
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Huo ndio uanaume hakukimbia jukumu halafu sio kujipanga yy sii shoga ni rijali
  3. L

    JamiiForums Tanzania Hivi na nyie wake zenu wanawapa unyumba kwa kunung'unika kama huyu wangu?

    Anawaza rejesho na bado unataka awe wet...toa hela mkuu
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo bro umekaa ukatafakari kabisa na kuona uko sahihi kumuoa huyo mwanamke mwenye Tattoo kiunoni na sehemu nyeti?

    Ushamba wa kutokuchora tatoo ni ushamba mzuri ushamba Smart📍
  5. L

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Visa ya China Tanzania: Tatizo ni Madalali, Sio Ubalozi

    Pale waweke jeshi la ulinzi tu.hao madalali tuone watatokea wapi ...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Joel Peter kawauliza waislamu na wakristu swali gumu

    Amekupa uhuru uishi utakavyo....hatashindana na ww kamwe taste ya maisha ndo ho mitihani.tupambane kuishinda .
  7. L

    JamiiForums Tanzania Hivi wachaga kwa nini mkifiwa Dar hamweki matarumbeta

    Wewe inakuhusu nin au itakusaidia nn? Kiherehere tu
  8. L

    JamiiForums Tanzania Njooni tujichange twende Tanga tukajenge kiwanda cha kemikali za Mafuta (Petrochemical Plant) Malighafi tutachukua kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta

    Wenzetu huko mbele huyu angepewa na ulinzi kabisa akifanikiwa akaanza anapewa magharama na mavipengele kibao akishinda mtihani akaanza kuzalisha kuna matajiri sasa watapataka kwl safari yetu ni ndefu.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Njooni tujichange twende Tanga tukajenge kiwanda cha kemikali za Mafuta (Petrochemical Plant) Malighafi tutachukua kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta

    Wenzetu huko mbele huyu angepewa na ulinzi kabisa akifanikiwa akaanza anapewa magharama na mavipengele kibao akishinda mtihani akaanza kuzalisha kuna matajiri sasa watapataka kwl safari yetu ni ndeg
  10. L

    JamiiForums Tanzania Njooni tujichange twende Tanga tukajenge kiwanda cha kemikali za Mafuta (Petrochemical Plant) Malighafi tutachukua kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta

    Wenzetu huko mbele huyu angepewa na ulinzi kabisa akifanikiwa akaanza anapewa magharama na mavipengele kibao akishinda mtihani akaanza kuzalisha kuna matajiri sasa watapataka kwl safari yetu ni ndefu
  11. L

    JamiiForums Tanzania Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya Uongozi

    Siku ya kwanza kumuona tu nikahisi tu huyu anawapandisha sana kitandani sura inaonyesha...ila kina Daudi na kina Suleiman nao walikuwa wanawakatikia haswa enzi hizo msimshadadie sana haijaanza leo.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

    Binadamu wanatubadilisha tabia mimi unipokeavyo ndivo nitaishi na wewe sina roho mbaya ila ukiniletea nakumute...taratibu bila ugomvi.utanisikia kwny bomba.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Sasa asioe kwnn aendelee kuzini
  14. L

    JamiiForums Tanzania Wife huwa haniachii msosi wa usiku

    Mwanzoni lazima hakuwa hivyo wewe ulikuwa ukiachiwa huli na inaonyesha ni mtu wa tungi na kuchelewa kurudi nyumbani wewe ndio chanzo!
Back
Top Bottom