Recent content by lulu za uru

  1. L

    Hela sio ya kusolve matatizo peke yake

    Hahaaaa.....Mimi Kila mwenzi Nina utaratibu wa kujizawadia kwenye mapato yangu pesa hiyo ipo....nijibane nisile kuku wa kujipongeza Ati nasubiri uzeeni vp dhahma za uzee usile hichi usile kile hahaàaaa kuku ninakula angali ni kijana.....sinywi pombe Wala kilevi chochote....
  2. L

    Kama umeme ni mwingi upungue bei tupikie majiko ya umeme

    Una kitu utafika mbali Mkuu
  3. L

    Hela sio ya kusolve matatizo peke yake

    Pokea mshahara usitenge hata 30000 Cha peke Yako kunywa supu kula kuku....halafu watakula.kwenye msiba wako maisha nn I hayahaya woi
  4. L

    Umejifunza au ulijifunza jambo gani kipindi unapopitia au ulipopitia nyakati ngumu maishani mwako?

    Me nilibaki kidogo sana si Kwa kujiua ila nilimwambia Mungu nichukue tu au uniondolee dhahma zilizokuwa zimenizunguka .Mungu alisimama asubuhi ...akanifuta machozi.....niliomboleza usiku kucha nalia sijawahi Lia mbele za Mungu hivyo.....Naposema asubuhi ni asubuhi nikiwa nimevimba macho Kwa...
  5. L

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Jamaa alikuwa na marehemu Ephraim Kibonde kipindi Cha jahazi aisee walikuwa wanaleta ladha ya ajabu.....kile ki George Bantu...kinatia huruma aisee amebaki mwenyewe sijui itakuwaje...
  6. L

    Huyu anaweza kukufaa sana kwenye shughuli zako

    Sawa mshauli wanakuja.
  7. L

    Nchimbi anaibua Mazuri ya Serikali dhidi ya Mabaya Machache, Makonda anaibua Mabaya Mengi dhidi ya Mazuri machache kati yao nani Bingwa wa Siasa?

    Makonda Yuko vzr kujitekenya na kucheka.....mtu anajitekenya hacheki haipendezi ...tafsiri upendavyo..
  8. L

    Waziri Mkuu Majaliwa: TANESCO imezalisha umeme zaidi ya mahitaji

    Tunatizama tu....hatuna la kusema .
  9. L

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Hivi yule mtt wa Ambani ilishindikana nn jamani alioa juzi juzi. Ina maana pesa ilishindwa? ....unene wa hivi no.
  10. L

    Damu sio nzito kuliko maji

    Ndugu Yako ni Ndugu tu damu ni damu ndiyo maana ukifa watauliza Ndugu zake wako wapi....? Usidharau Wala kutweza hata kama huelewani nao Wana umuhimu mno mno....
  11. L

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    Pambania gari Yako beba wagenj utateleza sana ila utasimama....hakuna kazi rahisi tunajikausha tu....
  12. L

    Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

    Kufanya kazi na majaamaa ya kichaga Raha sana machapa kazi Yana akili na hayakai kindezi...Sina ukabila na siupendi ila huo ni ukweli wachaga ni watu poa sana...asikiaye na afahamu.....
Back
Top Bottom