Recent content by lulu za uru

  1. L

    TANZIA Mwimbaji wa Nyimbo za Injili wa Rwanda, 'Gogo' afariki dunia akiwa na miaka 36

    Alinifurahisha ile video ofisini walikuwa wananiimbia kama salamu asbh nilikuwa nacheka sana...niliwaambia kweli mimi nahitaji buradi ofi jizazi....everedeye....bila hivyo mimi si kitu..Mungu ampumzishe kwa Amani .
  2. L

    Kila mtu ana kichaa chake

    mimi ukichaa wangu huja nikipandwa hasira kiasili nachelewa sana kukasirika ila bahati mbaya yakinifika hapa nikakushindwa kwl utasema huyu kichaa kilikuwa kimelala wengi huniuliza hivi fulani ni ww kwl ?ila hutokea kwa nadra sana.
  3. L

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    Hapo kuna kitu ilipulizwa ikadunda ndo ikaangukia hapo...watu wazito wamelewa shirki
  4. L

    Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    Wao wenyewe ogopa wanakiri tuna roho mbaya nso kina Millard Ayo..
  5. L

    Kosa kubwa la Polepole ni kuongelea CCM kuliko taifa

    Yuko sahihi kwakuwa huo ndio mzizi uliotufikisha hapa ni lazima ukatwe maotea yatakufa
  6. L

    Haya ndio majibu yangu mazito na yenye hoja nzito kujibu hotuba ya Askofu Gwajima iliyotolewa Agosti 25, 2025 Usiku

    Wewe unakula cake Hongera kuna sisi kina kajamba nani tuko nje wewe umeshiba ....sisi tuna njaa ila Gwajima yule siyo mwenzako ...kuna damage kubwa inatengenezwa kubwa mno sijui kama kuna weńye jicho la tatu wanaiona......kubwa mno mno
  7. L

    Nimemuomba donati mke wangu ameninyima, naombeni Ushauri

    Amenifurahisha sana hiyo mwanamke sana yaani.
  8. L

    Nimesikitika; Yule Shangazi aliyenihonga Shamba la heka 20 amefariki leo asubuhi.

    Ahahhahhhhhhaa shamba heka 20 na ana watoto alishatendwa anachukia wanaume akupe tu na kobilo hukumzawadia weeeee acha kutuleta
  9. L

    Nahisi mke wangu anajichua

    Kwani shida iko wapi ushajua pakumshika amalize na wewe unamaliza au kama ana tatizo la ukavu?
  10. L

    Tusilee ujinga, nilipogundua hii dawa akaondoka mwenyewe na hana hamu tena

    Haya maisha bhana usidharau mtu huwezi jua ni gundu gani la kutopata Kazi alikuwa nalo ila mwaka uliomfukuza ndio alikuwa anatoboa ...apate tobo..mi ningemwacha tu asingeweza kukaa milele .as King as ananiheshimu.
  11. L

    Mtoto wa Mo Dewji[AbbasMoDewji] umejifunza nini kuhusu huu ujumbe wa Baba yake ?

    Wewe ni mvulana bado pasi na shaka pasi ya moto waweza itambua kwa macho?
  12. L

    Lissu tutamwachia August asijefikiri anaogopwa. Na tutamshinda uchaguzi mkuu

    Asifanye campaign tunampa tukienda kwa haki anashinda.
Back
Top Bottom