In short hakuna mtu asieuelewa mwili wake mwenyewe...ndoa kwa asilimia kubwa inajengwa na uaminifu mkubwa kat yenu hasa hasa kabla ya ndoa.Mkiaminuana mtaambiana kila kitu ikiwa n pamoja na changamoto kama hzo....na hapo ndio upendo hupimwa..kama kakupenda kwel atajarb kukusaidia badala ya kukuacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.