mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 1,018
- 1,541
Unamuulizaje boss kizembe hvo?..Bado nahitaji .....kaz gan hiyo mkuu?
Unamuulizaje boss kizembe hvo?..Bado nahitaji .....kaz gan hiyo mkuu?
Kweli kabisa dunia imeoza etiHakikisha unapoenda kukutana na hawa wanaokuahidi kazi uwende na kaka zako wawili au niseme wanaume wawili ambao ni ndugu zako, hakikisha unaenda mpaka hiyo sehemu ya kazi ndio yawe makutano, yani kama ni duka au ofisini, USIKUBALI KUITWA SEHEMU ZENYE UKIMYA, AU NYUMBANI AU KWENYE HOTEL AU AJE KUKUCHUKUA NA GARI SEHEMU KATAA, Dunia inatisha sasa hivi.
Mimi natafuta nipo Mwanza...unaweza kufanya kazi hata mikoani mfn. Kanda ya ziwa???
Mwanza ipi.Mimi natafuta nipo Mwanza...