Recent content by lukoma

  1. L

    Panya road hatari maarufu Mungu Moshi waibuka halmashauri ya Mlimba-Morogoro

    Maisha na mali ya wananchi wa halmashauri ya Mlimba kata ya Mngeta na Mchombe yako hatarini kutokana na kuimbuka kwa kundi hatari la panya road maarufu kwa jina la Mungu moshi yaani bangi ndiyo Mungu wao. Vijana hawa kati ya miaka 15 mpaka 25 wanajihusisha na uporaji kwa kutumia mapanga, visu na...
  2. L

    Tangu tupate Uhuru ni mara ya kwanza sherehe za Muungano kuhudhuriwa na Marais wote kutoka upande wa Zanzibar

    Muungano ni wa ajabu, umezalisha wananchi wa ajabu matokeo yake ni sherehe za ajabu! Imagine ukienda Kigoma ndani ndani huko kama mtegowanoti utamkuta mpemba mwalimu, narudia ni mwalimu sio mfanyabiashara. Jiu;ize, je, ukienda pemba inawezekana ukamkuta msukuma ameajiliwa kama mwalimu huko...
  3. L

    Nimeamini Hayati Magufuli alikuwa ni mtu wa pekee sana kwa ubora

    Ulishajiuliza maswali kama JK Nyerere pia aliundiwa kamati?? Ben pia aliundiwa kamati?? Kwanini yeye!! Lazima patakuwa pana shida pahala! Lakini kama nyinyi mmeunda kamati ya kutetea kwanini wenzenu wasiunde kamati pia!
  4. L

    TARURA: Ni kweli Daraja la Mto Mngeta lilitumia Tsh. milion 31

    Fundi/engineer na Mbunge walohusika na ujenzi wa daraja hili ni kama wote wametoka Ulaya hawajui nature ya mito yetu wakati wa masika magogo mengi hupita kutoka juu. Angalia namna nguzo zilivyowekwa hapo chini karibu karibu zile kubwa za katikati na hizo za pembeni ndogo ndogo hakuna sehemu...
  5. L

    Mngeta, Mlimba: Wananchi walioshindwa kununua mita za maji kutozwa 10,000 kwa mwezi kuanzia Julai, 2021

    Kumekuwa na ukandamizaji, unyanyasaji na upigaji mkubwa sana wa pesa katika kata za mchombe na Mngeta kupitia mradi wa maji Lukicha! Pesa ya mfadhili pamoja na 10m alotoa Mh. Lwakate -marehemu imetumika kujenga katangi kadogo hata 5m hazifiki! Mbali ya upigaji huu mkubwa wa ujenzi wa tangi la...
  6. L

    Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?

    Nimeona kuna orodha ya kutosha ya chanjo tofauti kwenye nchi mbalimbali tofauti na hii inayotolewa hapa kwetu, mwenye uelewa mpana naomba clarification ya tofauti hiyo na chanjo ipi ni bora kuliko nyingine?
  7. L

    Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?

    Kupinga sio ujinga ni mwanzo wa kutaka kujua/kuelewa! Lipi bora ukubali ili upate ufafanuzi au upinge ili upate ufafanuzi uelewe?
  8. L

    Wito: CHADEMA chagueni Mwenyekiti mwingine, Mbowe kutoka ni ishu ya miaka

    Mbona kuna vyama tena vikongwe vina wenyeviti wanakazi gani?, mfano chama tawala mwenyekiti wake kwa sasa anakazi gani!! CDM pia hata kwa miaka 20 kitajiendasha bila ya mwenyekiti. Nilipokuwa nasikia washauri ndiyo wanampoteza rais nilikuwa siamini leo ndiyo nimeamini kwa sababu ya ushauri mfu...
  9. L

    Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

    Ulivyo na ubongo mchafu sikufikiri unajua ata Maria space!
  10. L

    Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

    Tena akiwa amepanic as if kamkamata kiongozi wa Alshabab! kumbe ni mtu wa watu
  11. L

    Picha: Rais Samia akiwa kwenye kiwanda cha Volkswagen nchini Rwanda

    Nafikiri hoja yako iwe ya pili, ya kwanza kwanini kanchi kadogo kama Rwanda ambako hakana ardhi kubwa ya kilimo, hakana bandari, hakana madini na NP kama Tz kanatuzidi kimaendeleo?
  12. L

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

    Yani ukiwa Masikini utaendelea kuwa masikini tu. Vijana wametumika kabla ya uchaguzi na baada ya kushinda badala ya kusherekea bado inatumika kuanzisha posti eti mbunge mmoja wa Chadema ashiriki bungeni!
  13. L

    Kuanzia sasa wabaya wangu sio CCM bali ni vijana!

    Hili nalo bumunda kama mabumunda mengine Tz. Yani unasifia ujinga wako eti kwa sababu unakazi!! So ulitaka nyinyi wenye kazi serikalini muingize kura fake maagizo kutoka juu kwa sababu ya kazi afu vijana wapige kura nyingi sio!
Back
Top Bottom