KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,481
- 2,272
Hujui kitu bwana utanizeesha bure.Scanner ipi? Hiyo scanner waliibeba kutoka Bongo? Na waliwascan wapita njia wote maana walipeana mikono wakiwa kwenye public area.
Amandla...
Hujui kitu bwana utanizeesha bure.Scanner ipi? Hiyo scanner waliibeba kutoka Bongo? Na waliwascan wapita njia wote maana walipeana mikono wakiwa kwenye public area.
Amandla...
Habari yako malaika!Yule alikuwa zaidi ya shetani kabisa
Tetetete hayupo tena mungu wenuHabari yako malaika!
Mbinguni unarudi lini?
Mungu wangu Yehova anaishi milele.Tetetete hayupo tena mungu wenu
Tulia alitesa sn watoto wa watuMungu wangu Yehova anaishi milele.
Nakusalimu tu malaika!
Mbona hupokei saalam yangu bwana malaika?Tulia alitesa sn watoto wa watu
Msamilie maza akoMbona hupokei saalam yangu bwana malaika?
unataka aongoze mamako. majitu mengine sijui mna roho za aina gani. utaridhika akiongoza nani? Mwambie mamako agombee labda utaridhikaInaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.
Ova
Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.
Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.
Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nitamsalimia. Salama lakini Malaika Bejamini?Msamilie maza ako
Lala basi dada angu inatoshaNitamsalimia. Salama lakini Malaika Bejamini?
Uwe na siku njema malaika...Lala basi dada angu inatosha
Kama ulibahatika kusoma Chuo Kikuu ungeweza kuewa kwa nini kule hakuna Viboko.Inaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.
Ova
Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.
Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.
Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hii tabia ya kuita watu WANANGU imetoka wapi. Wanae anao nyumbani kwake nawengine tuna wazazi wetu asituyumbishe kutaka kutawala familia za watu! Abaki na nafasi yake kama Rais wa nchi.Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.
Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.
Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.
Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.
Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya
View attachment 2199573
Anaposikia wakimwita mama anaamini amewazaa? She is just an illiterate old woman with no bearing!Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.
Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.
Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.
Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.
Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya
View attachment 2199573
Sasa kiherehere cha wasaidizi wake kumtia woga na kumfanya apitie vichochoroni kilikuwa cha nini? Siku nyingine watamwambie aruke ukuta ili asione mabango au asisikie wananchi wake wanachosema!!!Huyu ana ni nzuri. Hana makubwa sema mafisi yaliyomzunguka Sasa,
Kumbe unasumbuliwa na ujana tu! Unadhani kumuita mtu usiyemjui mjinga na kumwambia kuwa hajui kitu kuna kuongezea kijiheshima fulani!Hujui kitu bwana utanizeesha bure.
Mkuu mbona plain sana!Hivi unajuaga watanzania wanavyoiga Tabia za kijinga wakienda ughaibuni? Kwanza kabisa lugha, na culture Yao Huwa wanaidharau. Kwa hivyo usingeshangaa kuona hata mayai viza yanatupwa pale Lisa kivuli Cha demokrasia. Sasa USA inarekodi mbaya kabisa ya mauaji yanayotokana na matumizi ya silaha. So huwezi kumtembeza Kwa mguu Rais halafu akajichanganye na watu kama hao. Yes ni haki Yao lakini Kwa Mama huyu Wala haihitaji nguvu zote hizo zaidi ni kujidhalilisha tu. Ikumbukwe jamii ya watanzania haipendi harakati hizi. Yaani huku mitaani hata vijana wa CDM wenyewe wanaponda kitendo hicho labda humu Kwa wafia dini wa JF