Rais Samia: Kisiasa tupo vizuri, leo wanangu wamejipanga na Mabango yao nikawaambia nimewaona, nikawapungia Mkono

Inaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.

Ova

Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.

Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.

Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
unataka aongoze mamako. majitu mengine sijui mna roho za aina gani. utaridhika akiongoza nani? Mwambie mamako agombee labda utaridhika
 
Inaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.

Ova

Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.

Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.

Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama ulibahatika kusoma Chuo Kikuu ungeweza kuewa kwa nini kule hakuna Viboko.

Watu wazima ni sawa na Graduates wa Chuo kikuu.

Sema kuna watu wanaamini katika kufokewa na kusukwasukwa.

Hutopata kitu ktk utawala wa namna hiyo.

SSH hashambulii hoja kwa Rungu.

Anatulia kwanza halafu anajibu inavyostahili.

Shida moja tu ni kwamba watanzania wanaoamini kupata Maendeleo kimuujiza....bila kufanya kazi...kilimo Bora,Mifugo Bora na bila kuwajibika kulipa kodi...

Siasa zinarudi.

Biashara zinarudi...shida ni kwamba je wenyeji wako kwenye game?
 
Hili la kuwaambia hiyo task force kuwa kuna mambo mkituletea mnajua hatutayatekeleza ni kuwafunga mawazo. Hapa linaloogopwa ni kuambiwa katiba mpya sasa wakati yeye anataka iwe baada ya 2025. Na hapo ndipo CHADEMA wanapakataa.
Mimi nashauri hivi, hata kama rais hataki katiba mpya sasa basi asiwe wazi hivyo, aruhusu mchakato uanze lakini awe na delaying tactics (ingawa mimi sipendi ichelewe). Hii itapoza makali ya kuambiwa hadi baada ya 2025 wothout any reasonable reason
 
Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.

Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.

Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.

Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

View attachment 2199573
Hii tabia ya kuita watu WANANGU imetoka wapi. Wanae anao nyumbani kwake nawengine tuna wazazi wetu asituyumbishe kutaka kutawala familia za watu! Abaki na nafasi yake kama Rais wa nchi.
Acha kuwaita watu Wanangu hakuna anakula kwako!.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.

Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.

Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.

Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

View attachment 2199573
Anaposikia wakimwita mama anaamini amewazaa? She is just an illiterate old woman with no bearing!
 
Huyu ana ni nzuri. Hana makubwa sema mafisi yaliyomzunguka Sasa,
Sasa kiherehere cha wasaidizi wake kumtia woga na kumfanya apitie vichochoroni kilikuwa cha nini? Siku nyingine watamwambie aruke ukuta ili asione mabango au asisikie wananchi wake wanachosema!!!
Actually angejizolea sifa kem kem kama angejitokeza akasalimiana na hao waandamanaji, ikiwezekana hata kupiga nao selfie, awaambie atafuatilia madai yao, ingeishia hapo. Bahati nzuri mama bado anapendwa na kuheshimiwa sana.
Yaliyomtokea Washington, yanaweza kujirudia Dunia nzima(kasoro China na North Korea) atakapofanya ziara, sasa itabidi asisafiri au awe anapitia jikoni kila wakati.
WAliohusika na huo ushauri wawajibishwe haraka maana wameshindwa kazi.
 
"Nimeunda timu ndani ya vyama vya siasa, tumeweka Jeshi la Polisi, viongozi wa dini, taasisi za kijamii, watajadili mambo ambayo wamepanga, kuna chama cha siasa kimoja bado hakijakubali bado naendelea na mazungumzo nao na nawaelewa kwanini hawajakubali" - Rais @SuluhuSamia.

ADF16F7F-81A0-4EE6-A508-2F83A1EF7BD9.jpeg
 
Hivi unajuaga watanzania wanavyoiga Tabia za kijinga wakienda ughaibuni? Kwanza kabisa lugha, na culture Yao Huwa wanaidharau. Kwa hivyo usingeshangaa kuona hata mayai viza yanatupwa pale Lisa kivuli Cha demokrasia. Sasa USA inarekodi mbaya kabisa ya mauaji yanayotokana na matumizi ya silaha. So huwezi kumtembeza Kwa mguu Rais halafu akajichanganye na watu kama hao. Yes ni haki Yao lakini Kwa Mama huyu Wala haihitaji nguvu zote hizo zaidi ni kujidhalilisha tu. Ikumbukwe jamii ya watanzania haipendi harakati hizi. Yaani huku mitaani hata vijana wa CDM wenyewe wanaponda kitendo hicho labda humu Kwa wafia dini wa JF
Mkuu mbona plain sana!
 
Back
Top Bottom