Ccm ni laana tu ,inyowatafuna, hakuna lingine ,mmejaza mavyeti makabatin, ya kiwiziwizi tu ,lakini hata uwezo wa kupambanua Mambo madogo mnazidiwa na watato wa darasa la nne, that's Msukuma japo ccm anawatukanaga, vyeti vingi,akili zero, alafu wajiona mzima kumbe mfu tuMbowe walikuwa wanamchukulia time tu, habari zake zilishavuja long time, lakini waswahili walisema ''asiyesikia la mkuu huvunjika guu.'' Hawezi kupewa kesi ya ugaidi bila ushahidi, atavuna alichopanda.
Huo ushauri si msaada kwa wahusika Bali ni pigo kwakoLeo nimekuwa na msikiliza mzee mmoja stafu kutoka kitengo Cha kupambana na ugaidi Tanzania nimeshtuka Sana pale alipo niambia kuwa ili mtu akamatwe kwa kosa la ugaidi lazima waziri wa mambo ya ndani ya nchi atoe amri baada ya kujiridhisha na ushahidi wa mshukiwa.
Amenihakikishia kuwa trials za ugaidi si chini ya miaka 4 na huenda zaidi na mshukiwa huweza kukaa ndani kwa kuogopa usalama wa nchi maana ugaidi ni mfumo.
Sasa nawashangaa CHADEMA badala ya kutafuta mrithi wa mbowe wako bize na mabango Ila kule Afghanistan, Syria, Mozambique, Eritrea,Kenya na Nigeria hata Indonesia mtu akikamtwa kwa ugaidi ndio Basi tena ,
Ni Bora CHADEMA kujielekeza kwenye kujenga chama badala ya kusubilia dodo chini ya mpera
Kesi ya ugaidi sio Kama kesi ya kuiba simu mitaani hapa mbowe itachukua miaka kibao kutoka au kupewa dhamana.
Mashekhe wa uamusho wamekaa miaka 9 tena wao ni viogozi wa dini kwenye inchi yenye waislam wengi na bado wamekaa
Mashekhe walitetewa na viongozi wa juu wa kitaifa na bado walikaa sana,tena Sana
Kule USA Gwantanano magaidi hadi leo wana miaka zaidi ya 25 wapo tu na kesi zao zipo kwenye trial itakuwa Mbowe
USSR
Vipi Leo ametokaEndelea kutumika kwa uovu siku ya kulipa ipo Karibu, andaa kizazi chako kisaikolojia, kwangu na kwa wengine utajificha Ila Mungu hajawahi kufichwa na utakosa wa kumdanganya endelea kuishi na watesi na furahia Sana Ila wakati waja wa kusema ningejua Ila too late
Nyoka anamuokoa samaki anayekkaribia kuzama!Leo nimemsikiliza mzee mmoja mstaafu kutoka Kitengo cha Kupambana na Ugaidi Tanzania.
Nimeshtuka sana pale aliponiambia kuwa ili mtu akamatwe kwa kosa la ugaidi lazima Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi atoe amri baada ya kujiridhisha na ushahidi wa mshukiwa.
Amenihakikishia kuwa trials za ugaidi si chini ya miaka 4 na mara nyingi huchukua muda zaidi na mshukiwa huweza kukaa ndani kwa kuogopa usalama wa nchi maana ugaidi ni mfumo.
Sasa nawashangaa CHADEMA badala ya kutafuta mrithi wa Mbowe wako bize na mabango wakati kule Afghanistan, Syria, Mozambique, Eritrea,Kenya na Nigeria hata Indonesia mtu akikamtwa kwa ugaidi ndio Basi tena.
Ni Bora CHADEMA kujielekeza kwenye kujenga chama badala ya kusubilia dodo chini ya mpera.
Kesi ya ugaidi sio kama kesi ya kuiba simu mitaani. Hapa Mbowe itachukua miaka kibao kutoka au kupewa dhamana.
Mashekhe wa uamsho wamekaa miaka 9 tena wao ni viogozi wa dini kwenye nchi yenye waislamu wengi na bado wamekaa. Mashekhe walitetewa na viongozi wa juu wa kitaifa na bado walikaa sana, tena Sana.
Kule USA Gwantanamo magaidi hadi leo wana miaka zaidi ya 25 wapo tu na kesi zao zipo kwenye trial, sasa ndo itakuwa Mbowe?
USSR
Hata miaka 1000 wewe yanakuhusu mini? Mnaipenda sana sana ChademaHii kesi itachukua miaka mitano
USSR
Ule mpango wa kumlisha sumu naona mumeshaukamilisha. Muueni tu lakini haitafanya Watanzania waipende CCM.Leo nimemsikiliza mzee mmoja mstaafu kutoka Kitengo cha Kupambana na Ugaidi Tanzania.
Nimeshtuka sana pale aliponiambia kuwa ili mtu akamatwe kwa kosa la ugaidi lazima Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi atoe amri baada ya kujiridhisha na ushahidi wa mshukiwa.
Amenihakikishia kuwa trials za ugaidi si chini ya miaka 4 na mara nyingi huchukua muda zaidi na mshukiwa huweza kukaa ndani kwa kuogopa usalama wa nchi maana ugaidi ni mfumo.
Sasa nawashangaa CHADEMA badala ya kutafuta mrithi wa Mbowe wako bize na mabango wakati kule Afghanistan, Syria, Mozambique, Eritrea,Kenya na Nigeria hata Indonesia mtu akikamtwa kwa ugaidi ndio Basi tena.
Ni Bora CHADEMA kujielekeza kwenye kujenga chama badala ya kusubilia dodo chini ya mpera.
Kesi ya ugaidi sio kama kesi ya kuiba simu mitaani. Hapa Mbowe itachukua miaka kibao kutoka au kupewa dhamana.
Mashekhe wa uamsho wamekaa miaka 9 tena wao ni viogozi wa dini kwenye nchi yenye waislamu wengi na bado wamekaa. Mashekhe walitetewa na viongozi wa juu wa kitaifa na bado walikaa sana, tena Sana.
Kule USA Gwantanamo magaidi hadi leo wana miaka zaidi ya 25 wapo tu na kesi zao zipo kwenye trial, sasa ndo itakuwa Mbowe?
USSR
Mtu akishatambulishwa kuwa ni gaidi, ujue kapigwa chapa kama sindano ya Corona.Mbowe atatunzwa sana ili aje awe fundisho kwa wajinga wengine wa aina yake.Yule hesabu ni sawa na kuwa Guantanamo,ukishasema huyu gaidi hata marekani haitakuteteaUle mpango wa kumlisha sumu naona mumeshaukamilisha. Muueni tu lakini haitafanya Watanzania waipende CCM.
Unafikiri Marekani ni wapumbavu kuamini huu utaahira wenu wa kutengeneza kesi ambayo mumefika mahali hata kuiendesha mnashindwa. Katika jambo ambalo CCM na Serikali yenu dhalimu mumejitia dole wenyewe ni hii kesi ya Mbowe.Mtu akishatambulishwa kuwa ni gaidi, ujue kapigwa chapa kama sindano ya Corona.Mbowe atatunzwa sana ili aje awe fundisho kwa wajinga wengine wa aina yake.Yule hesabu ni sawa na kuwa Guantanamo,ukishasema huyu gaidi hata marekani haitakutetea