Madaraka ya uteuzi kwa kikwete yamekuwa mazito sana na hili CHADEMA waliliona mapema..kuhusu kushambuliwa kwa lowassa kama ni kweli siwamfukuze uwanachama???si wamng'oe ccm???au wanaogopa wakimwaga mboga yeye atamwaga ugali na kutafunatafuna hadi bakuli la kunawia mikono???teh teh
Kumbe wanalipwa hawa jamaa???ndo maana nashangaa binadamu wa kawaida kufikiri kidogo kiasi cha kusifu upuuzi..huo Uhuru wa vyama vya siasa ndio ule wakuwapiga wanaoandamana hadi kuwang'oa meno???
Kwakweli rais wetu amefanya kazi kubwa sana,hadi kuweza kuziona billion 300 ni fedha za madafu amejitahidi sana???watu wamepigwa hadi kusokomewa vijiti kwenye nyeti zao(operation tokomeza)amejitahidi sana kuwakenulia wezi rais wetu mpendwa sio eti???Nashindwa kuelewa mnaposifu akili zenu huwa...
Unafikiria nini kama nchi inaongozwa na kiongozi anaeamini nchi yake haiwezi kuendelea bila kuomba misaada na kuuza uhuru wetu???licha ya kubarikiwa rasilimali zote hizi???
Kumbuka ukawa sio chama cha siasa vyama vinavyotambulika ni hivyo vilivyoungana!Na katiba iko wazi kuwa waziri mkuu atatoka katika chama chenye wabunge wengi bungeni...je cuf wanaweza kuwa na wabunge wengi bungeni kuliko vyama vyote???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.