Recent content by lujuozxon

  1. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania Mtanzania aliyetengeneza Chopa aalikwa South Africa

    Tatizo sio TCAA kumkataza, wao wanatekeleza utaratibu uliowekwa kisheria, ni ukweli kwamba sio ruksa kutengeneza chombo cha usafiri wa moto hususani wa anga bila kufata utaratibu uliowekwa kitaalam na kisheria, kabla ya kufanya hayo alipaswa kujisajili na kuhakikisha mamlaka ya anga wametoa...
  2. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania SHULE BORA YA SECONDARY (seminary boyz O-LEVEL) morogoro/kibaha

    Habarini wadau, namtafutia mdogo wangu wa kiume shule nzuri ya dini (Seminary) ya secondary (O-LEVEL), kati ya mkoa wa morogoro, kibaha au bagamoyo. Yenye maadili mazuri na pia mazingira ya kujisomea yawe mazuri pia. Tusaidiane waungwana pia ni vizuri zaidi kama utakua na details zote muhimu...
  3. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Magufuli (Jesca) sijui alifikaje Chuo Kikuu?

    Aisee unachojaribu kuongelea ni ki2 hatari sana kamwe achana na udini, itakuja kuku cost
  4. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Magufuli (Jesca) sijui alifikaje Chuo Kikuu?

    Kupata div iv sio ndo unakua kilaza,, hamkumuelewa magufuli, unaweza ukawa na iv ya 30 ila ukaanza certificate ukapita diploma then bachelor na ukatusua fresh tu
  5. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania Tabia ya wasichana vyuoni kutembea na wazee

    Sawa ila usisahau kuna kuolewa na kuwa na familia, pengine ufunge ndoa na uyouyo, then asipokuridhisha usitafute mchepuko. Maana hua hamridhiki
  6. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania Tabia ya wasichana vyuoni kutembea na wazee

    Doooh.! Kwani ni biashara jamani.? Aya maisha tu
  7. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania Tabia ya wasichana vyuoni kutembea na wazee

    Sure we got 4give n let ish go
  8. lujuozxon

    JamiiForums Tanzania Tabia ya wasichana vyuoni kutembea na wazee

    Hivi ni hulka, ushamba, umasikini, ulimbukeni au tamaa ya fedha kwa dada zetu vyuoni kujihusisha kimapenzi na watu wazima kama wazazi wao? I ask so because have experienced, my x tried to lie kwamba i am the only one to her. Ila kadri siku zilivyozidi kwenda nikagundua ana mahusiano na mzee...
Back
Top Bottom