Kwanza kabisa nataka kuijua interms of;
1. Safa zake
2. Utofauti wake ukilinganisha na simu nyingine za Samsung
3. Bei yake kwa sasa mpya na used
4. Betri
5. Uimara
Wadau kauna app gani nzuri ya ku move file kutoka kwenye internal storage ya simu kwenda kwenye external storage ya simu(SD)
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wenzangu,
Naomba nianze kwa kusema kwamba, endapo viongozi wa Afrika wataendelea kutawaliwa kifikra na wazungu, hakuna nchi hata moja itakayoinuka kiuchumi kama ilivyoinuka China, licha ya kuwa na rasilimali lukuki za kiuchumi. Hilo litawezekana tu hadi pale viongozi wa Afrika...
Kwani kuna mahali imeandikwa kwamba kumuapisha mtu iwe ikulu au ofisini, kama ipo basi tuonyesheni. Na kama hamna mi sioni tatizo cha msingi kazi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.....kuna haja ganinya kufukua makaburi! Tuwasindikize waliotangulia tukumbuke pia na sisi tu njia moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.