Tatizo ni muda,mtangazaji nae apange maswali vizuri.itv ongezeni muda wa kipindi cha uzalendo nusu saa kuongea watu wawili tena hoja nzito za siasa haitoshi
Ndugu zile pesa tulizoahidiwa bungeni kuhusu atakayembaini au kutoa tetesi za mlipuaji wa bomu katika mkutano wa CDM Arusha mnazikumbuka,au sakata limeisha?naamini bado hajapatikana hivyo tuendelee na juhudi za kumtafuta ili 'tupate' MILIONI MIA,mtaji tosha huo!
Katika suala la kutoa elimu na kukusanya maoni ya katiba leo katika viwanja vya Sokoni Dk. Slaa na Mabere Marando watahutubia saa tano asubuhi.
Picha zitafuata,naona watu wameanza kumiminika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.