kusimamia wanachoamini Maana yake ni kusimamia maslahi yao.
Kama wangekuwa na hoja ambazo zina maslahi ya maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla, watanzania wote tungewaunga mkono. Kwa vile wanayosimamia ni kwa maslahi yao binafsi, watahangaika sana na mwisho wao ni kupotea kisiasa.
My take...
umenena vema, ukweli mchungu
Ukitaka kujua kuwa hicho sio chama Bali ni Sacco's ya wachaga, ulizia mambo yanayohusu teuzi za viongozi wao, mapato na matimizi ya chadema, utaishia kuuitwa msaliti na kufukuzwa chama.
Hii inamanisha kuwa uzinduzi wa hostel za Udsm ni habar mbaya kwa chadema nakubenea.
Kutokuwepo kwake hakuwezi kuizuia hostel kuzindulia. Pia huo ni unafiki mkubwa ambao ulitakiwa kupingwa vikali, inawezekana Kubenea hajui adha zinazowakuta vijana wa Udsm kutokana na kukosa vyumba vya kuishi...
Huwez kushinikiza kamati kujadili hulka za baadhi ya watu tu. Bali kamat itajidili masuala ya ulinzi na usalama katika Muda wanaona unafaa kama unavoona Sasa.
Hakika, chadema wanapenda kuona Tanzania haipigi hatua katika kutekeleza masuala ya maendeleo.
Kwa kasi ya raisi Magufuli katika kutekeleza miradi ya maendeleo chadema hakika watakosa cha kuongea.
Kama unaona uzinduzi wa ujenzi wa miundombinu ni udanganyifu, basi wewe utakuwa na matatizo.
Upinzani sio kupinga kila Kitu. suala la ujenzi wa miundombinu kama reli utasaidia katika kuimarisha uchumi wetu.
Hiyo ndio shida ya kuamini taarifa bila kuwa na vyanzo vya uhakika. Kama tutaendelea kuamini tarifa za Huyo kahaba wa ugaibuni( mange), watanzania tuamke la sivyo tutaishia kulishwa matango pori kila kukicha
Sasa naona Zama za CCM kuwa mikononi Mwana watu wachache ambao wao waliona chama kama miliki yao Sasa zimekwisha.
Kwa vile alisema " ili mbegu iote lazima life na kuoza" Time will tell, Lakini ikumbukwe kuwa si mbegu zote zinazokufa na kuoza huota tena. Zingine huoza moja kwa moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.