Kamati ya Bunge kujadili usalama wa nchi

Kamati ya Bunge kujadili usalama wa nchi

Hivi hawa si ndo walokata mara ya kwanza hili swala lisijadiliwe, nchi hii bwana inatia hasira sana sio siri, wanaruka mkojo wanakanyaga vinyesi, wasingeuwawa askari wetu wale walopotea hawakuwa binadamu wenzetu
 
Dola ni lazima iogopwe na wahalifu na vilevile inabidi iaminiwe na watu wake. Hii ni hatua nzuri na naipongeza sana. Ni wakati mzuri wa kujitafakari ni wapi tulitaka kukosea ili kuondoa hofu iliyotaka kujengeka miongoni mwetu. Katika kulinda uhai wa watu wake ni vema hatua ziwe zinachukuliwa haraka, kwa uhakika na haki ili wananchi watekeleze majukumu yao kwa uhuru mpana zaidi kwa maendeleo yetu wote.
 
Wajinga tu haya baadhi ya mabunge ya ccm,hoja imetolewa muda mrefu lakini yameipuuza,saa hizi yanajifanya yameridhia kuijadili
 
Yachunguzwe haya...upatikanaji wa mkaa, usafirishaji wa magogo, biashara ya mbao, matumizi ya maliasili(wanyama na bidhaa zao huko Selou), biashara zinazohusu bandari bubu(kuingiza bidhaa za magendo, vifaa vya solar fake, madawa ya kulevya, uvuvi haramu). Pia mahusiano baina ya wafanyakazi wa serikali na wananchi wa mkoa wa pwani/Rufiji; wawakilishi wa wananchi(wabunge, madiwani) wayasemayo kwenye mabaraza ya madiwani, vikao vingine vya haliashauri za wilaya, kwa wananchi); mengine ongezea!
 





Dodoma. Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama leo mchana itakutana ili kujadili masuala ya kiusalama ikiwamo ya kuuawa kwa polisi na raia nchini.

Spika wa Bunge, Job Ndugai ameyasema hayo leo baada ya kipindi cha maswali na majibu alipokuwa akijibu muongozo wa Mbunge wa Bukombe, (CCM) Dotto Bitteko.

Polisi wanane waliuawa na watu wanaodaiwa kuwa majambazi, wilayani Kibiti, mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mkuki kwa nguruwe sawa Ila kwa chama tawala sio sawa
 
Yachunguzwe haya...upatikanaji wa mkaa, usafirishaji wa magogo, biashara ya mbao, matumizi ya maliasili(wanyama na bidhaa zao huko Selou), biashara zinazohusu bandari bubu(kuingiza bidhaa za magendo, vifaa vya solar fake, madawa ya kulevya, uvuvi haramu). Pia mahusiano baina ya wafanyakazi wa serikali na wananchi wa mkoa wa pwani/Rufiji; wawakilishi wa wananchi(wabunge, madiwani) wayasemayo kwenye mabaraza ya madiwani, vikao vingine vya haliashauri za wilaya, kwa wananchi); mengine ongezea!


Duuuuuhh
 
Nchi iko salama hayo maneno ya uchochezi maneno ya waziri hayo Leo pyeeee
 
Vilaza wa bavicha bana???
Sasa Mbowe alitaka iundwe kamati mpya wakati kamati inayohusu usalama ipo na inafanya kazi zake...yaani alitaka ulaji tu.

KWENU VILAZA:KASOMENI KUHUSU KAMATI ZA BUNGE
 
Mtu anayeongoza genge la kuteka watu na kuwatesa na wengine kupotezwa kabisa katika uso wa dunia anafahamika kabisa kwa nini watu wanapapasa papasa?
 
Vilaza wa bavicha bana???
Sasa Mbowe alitaka iundwe kamati mpya wakati kamati inayohusu usalama ipo na inafanya kazi zake...yaani alitaka ulaji tu.

KWENU VILAZA:KASOMENI KUHUSU KAMATI ZA BUNGE

Kilaza ni baba yako mzazi mwana mtoka pabaya wewe
 
Wajinga tu haya baadhi ya mabunge ya ccm,hoja imetolewa muda mrefu lakini yameipuuza,saa hizi yanajifanya yameridhia kuijadili
Huwez kushinikiza kamati kujadili hulka za baadhi ya watu tu. Bali kamat itajidili masuala ya ulinzi na usalama katika Muda wanaona unafaa kama unavoona Sasa.
 
Back
Top Bottom