Kwa shujaa huenda kilio kwa mwoga kicheko

nghabi

Member
Mar 25, 2017
8
6
Kusema kweli Nape ndiyo anapotea hivyo kisiasa.Watu watamshangilia kama shujaa lakini ndiyo kwa heri mwalimu.Hasira hasara
 
Kusema kweli Nape ndiyo anapotea hivyo kisiasa.Watu watamshangilia kama shujaa lakini ndiyo kwa heri mwalimu.Hasira hasara
Bila Magufuli CCM ilikuwa inapigwa asubuhi na Lowassa.Je,kwa sasa Membe amepata nguvu kiasi kwamba Nape anataka wajipange kwa 2020?
 
Kusema kweli Nape ndiyo anapotea hivyo kisiasa.Watu watamshangilia kama shujaa lakini ndiyo kwa heri mwalimu.Hasira hasara
Kumbe washangilia woga? Sikutegemea kuwa nawe utayari kuacha kutetea haki na ukweli kwa ajili ya kulinda tumbo.
Mapambano huwa yana gharama zake na mara nyingi ni kubwa. Bahati nzuri Nape aliishalijua hilo kama Wazee wetu waliokubali kupoteza kazi ili Tanganyika ipate uhuru. Hebu jitafakari.
 
Kumbe washangilia woga? Sikutegemea kuwa nawe utayari kuacha kutetea haki na ukweli kwa ajili ya kulinda tumbo.
Mapambano huwa yana gharama zake na mara nyingi ni kubwa. Bahati nzuri Nape aliishalijua hilo kama Wazee wetu waliokubali kupoteza kazi ili Tanganyika ipate uhuru. Hebu jitafakari.
Mapambano lazima utumie hekima.Lazima uusome mchezo.Wewe huwezi kumwajibisha MTU unayelingana naye.Baada ya kuona Makonda kachemka,angeshauriana na viongozi wake wa juu.We unamwona pacha wako nyumbani amekosea unamchapa kwanza ndiyo unaenda kuwaeleza wazazi!!.
 
bhangi bhana unajijibu nakujilike siungejifungia chumbani kwako uongee mwenyewe



ccm bado inamuhitaji nape pole pole hawezi mchakamchaka wa upinzani bado anapwaya
 
Nape kwene siasa bado umri unamruhusu, kikubwa nikuhakikisha unabaki kwenye Ubunge.
 
Kusema kweli Nape ndiyo anapotea hivyo kisiasa.Watu watamshangilia kama shujaa lakini ndiyo kwa heri mwalimu.Hasira hasara
Sasa naona Zama za CCM kuwa mikononi Mwana watu wachache ambao wao waliona chama kama miliki yao Sasa zimekwisha.
Kwa vile alisema " ili mbegu iote lazima life na kuoza" Time will tell, Lakini ikumbukwe kuwa si mbegu zote zinazokufa na kuoza huota tena. Zingine huoza moja kwa moja.
 
Kusema kweli Nape ndiyo anapotea hivyo kisiasa.Watu watamshangilia kama shujaa lakini ndiyo kwa heri mwalimu.Hasira hasara

Kwani aliyekuambia kuwa Siasa ni Uwaziri ni nani huyo. Amekupotosha sana!!!!!!
 
Ni kheri yule anayekufa akijua kwanini anakufa na jamii ikaelewa kilichomuua kuliko yule anayebakia hai asijue kwanini yuko hai na hata jamii yake isione haja ya uhai wake.Ni mtizamo na mawazo yako hivyo nayaheshimu!!
 
Ndani ya ccm mbeleko ya nape ni viongozi wa ccm akiwemo mwenyekiti..nape amezingirwa na maadui asiowaona ndani ya ccm..kumbuka alimsulubu vya kutosha lowasa mtu aliyeishika na kujijenga ccm ipasavyo hadi akapata stroke..watu wa lowasa si kwamba walifurahi na walimchukulia nape kama adui yao maana amewakwamisha mengi..na nguvu kubwa ya nape ilitokana na mwenyekiti..kwa hili lililomkuta najua wengi wamefurahishwa na ndio maana hata lowasa hajaongea kitu
 
Siku zote mtu hupewa anachostahili .Nape ulistahili kabsa kupumzishwa maana alikokuwa akielekea sio kwan alikuwa mtu wa dharau nakujiona hakuna mwingne zaidi ndani ya Chama na hawez fanywa lolote .
 
Back
Top Bottom