Recent content by Lugovoy

  1. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Sitakuja kumsahau huyu daktari kwa alichonifanyia

    Naam, kila mtu, kwa nafasi yake, popote pale ulipo, tenda kama vile ungependa utendewe wewe ama ndugu/mwenza/mtoto/rafiki yako wa karibu. Vulnerability inapaswa kuwa drive ya kukufanya kuwa makini zaidi, isichukuliwe for granted. Nakupongeza sana kwa kuthamini kile ulichofanyiwa wakati...
  2. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Sitakuja kumsahau huyu daktari kwa alichonifanyia

    Ukibarikiwa kuhudumu katika fani ya ndoto yako, mara nyingi matokeo huwa yanaacha alama. Kuna couple niliihudumia some years back, saizi tumekuwa familia, wananiita Kaka. Tunapigiana simu mara kwa mara, kujuliana hali, kutembeleana, kushirikishana fursa and the likes. Inapendeza sana...
  3. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Football is a game of chance, jinsi gani unatumia makosa ya mwenzio, hakuna kisichowezekana
  4. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Je, nitakuwa nimepata ujauzito?

    Jasiri haachi asili, huwezi kupingana na asili
  5. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kudate na mtu ambaye hata iweje hutamani kurudiana naye?

    Inatafakarisha
  6. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sahihi kabisa
  7. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ile mechi ya juzi kati na Forest iliniuma sana, niliikumbuka falsafa ya Ferguson ya winning spirit, makombe hayawezi kuja kwa lelemama.
  8. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Ipo haja ya dhati kabisa uchangishawaji wa fedha unaoshirikisha umma, ukawa unaombewa vibali maalum.

    Achana nae, hajui hata anachokiongea, ni wale types za empty brain.
  9. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Haujachelewa kuchukua hatua ya kwanza, anza kuishi sasa

    This is powerful, it might be a game changer
  10. Lugovoy

    JamiiForums Tanzania Haya andika jina lako la hapa jukwaani kwa Kijapan

    TADOJIMORUMOFU
Back
Top Bottom