Recent content by Lugogo

  1. L

    Mwenyekiti wa CCM akatwa mtama na vijana wa CHADEMA

    wangemuua tu tumechoka sie
  2. L

    Wabunge wa chadema wakiwa hawapo bungeni,bunge hupwaya.

    mfano bunge la katiba,limepwaya utakuta mbunge wa ccm anasimama na kudai nimetumwa na wananchi wangu wanataka serikali tatu,swali la kujiuliza huyo mbunge naye ana rasmu yake?naye alikusanya maoni aliteuliwa na nani?
  3. L

    Werema: Nina watoto halafu natukanwa?

    werema hajui sheri.kiboko wa sheria ni lisu
  4. L

    M/kiti wa CCM kata ya Busambara wilayani Butiama auwawa kikatili

    wapigwe TU,tumechoka sie ,ccm hata wakifa wote sisikitiki.
  5. L

    Picha.Mtihani wa Moko mkoa Mwanza ulitolewa kwenye gazeti la Elimu haina Mwisho kabla ya kufanyika

    Tukisema Elimu ya Tanzania CCM wameipeleka ICU wanafiki wanakataa na kuleta siasa kwenye Elimu.Mtihani wa utimilifu (mock) Darasa la saba mkoa wa Mwanza uliofanyika mei 21 na 22,2014 ulitolewa kwanza kwenye gazeti la Elimu haina Mwisho linalotolewa na kituo cha kisomo cha Taifa Mwanza.Magazeti...
  6. L

    Matokeo ya kidato cha sita ya mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka

    Gazeti la msemakweli lilisema ukweli.harafu anajifanya mjanja.CCM WOTE NI NDINA.
  7. L

    Mzee Jaji Warioba ndani ya Dk 45 ITV

    Warioba amewalipua ccm ktk kipindi cha dk 45 itv.mbona wabunge wa ccm walobaki bunge la katiba wanawatukana ukawa eti watavunja muungano bila kutaja sababu zipi selikari tatu zitakavyovunja muungano.
  8. L

    Rais kuitwa shemeji na walimu ni matusi na kudhalilisha Taasisi ya Urais!

    Mpk umekaa ukaona hii ndo hoja ya kuleta jf.-------.hata nyerere alikuwa ameoa mwl.hata haujui zezeta mkubwa.
  9. L

    T-shirt za CWT walizotugawia walimu zinatubana.

    lusungo,mbona ww umechangia kama thread ni mbovu?tumia kichwa kufikiri na si kufugia nywele.suala mapolisi kama wao hawasemi mie siyo msemaji wao.unasema kila sekta ina changamoto kwa hiyo ndo tusiseme.?
  10. L

    T-shirt za CWT walizotugawia walimu zinatubana.

    pefla.dawa ni mng'oa hewa.make kapunguza umri kazi tunayo tukizembea
  11. L

    T-shirt za CWT walizotugawia walimu zinatubana.

    kuSema maovu ni kulalamika kumbe?
  12. L

    T-shirt za CWT walizotugawia walimu zinatubana.

    mwanzon umedai tunapenda kulalamika.ndo maana nilitaka nikutumie ww ambaye hupendi kulalamika.
Back
Top Bottom