mfano bunge la katiba,limepwaya utakuta mbunge wa ccm anasimama na kudai nimetumwa na wananchi wangu wanataka serikali tatu,swali la kujiuliza huyo mbunge naye ana rasmu yake?naye alikusanya maoni aliteuliwa na nani?
Tukisema Elimu ya Tanzania CCM wameipeleka ICU wanafiki wanakataa na kuleta siasa kwenye Elimu.Mtihani wa utimilifu (mock) Darasa la saba mkoa wa Mwanza uliofanyika mei 21 na 22,2014 ulitolewa kwanza kwenye gazeti la Elimu haina Mwisho linalotolewa na kituo cha kisomo cha Taifa Mwanza.Magazeti...
Warioba amewalipua ccm ktk kipindi cha dk 45 itv.mbona wabunge wa ccm walobaki bunge la katiba wanawatukana ukawa eti watavunja muungano bila kutaja sababu zipi selikari tatu zitakavyovunja muungano.
lusungo,mbona ww umechangia kama thread ni mbovu?tumia kichwa kufikiri na si kufugia nywele.suala mapolisi kama wao hawasemi mie siyo msemaji wao.unasema kila sekta ina changamoto kwa hiyo ndo tusiseme.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.