Recent content by lugisi

  1. L

    Jaji Sinde Warioba kanishangaza

    Bwegee wewe warioba gamba
  2. L

    Sakata la Dr. Slaa: Wanasheria wamkabili Lissu

    TL yuko sahihi haswaa Slaa akalale ameshindwa na sina haja tena ya kuendelea kumsikiliza ashindwe na alegee:A S 41::A S 41:
  3. L

    Polepole: Waliopinga katiba ya Warioba wamehama

    Humphrey ni shidaa na si mcha mungu kamwe huwezi kuwa hivyo anavyofanya ni katili ajabu.Sasa si achukue tu mikoba ya Nape.Ingekuwa rahisi ningekataa kumpa nafasi kwenye vyombo vya habari
  4. L

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    ki ukweli shule za kata zimeanzishwa kudidimiza watu wa kawaida na kwa malengo ya vijana wa masikini kuendelea kutawaliwa.Shame on those who initiated them :A S thumbs_down:
  5. L

    Taarifa kwa umma mauaji ya mwanachuo wa Chuo cha Uhasibu Arusha

    Wewe akili yako ndogo kama ya mulongo kaa kimya mbunge ana hadhi kubwa kuliko mkuu wa mkoa amepigiwa kura na wa elfu hamsini mlungo ameteuliwa na mtu mmoja tu.kaa kimya huna lolote
  6. L

    CHADEMA wapokea msaada wa milioni 400

    wewe ndo mbumbu hujui unalolisema kama ushamba wewe namba moja tena lenye mbolea asili.funga domo lako linalonika ufisadi na una roho mbaya !!!!!!!!hilooooooooooooooo!!!!!!!!11
  7. L

    Mahakama Kuu yaitisha mafaili kesi ya Lwakatare

    akili yako ndogo sana kuzidi ya sisimizi,huna maana kabisa unafaidika na nini kwa lwakatare kukaa mahabusu au jina la chadema kuharibiwa na watu wanaojiona wako juu ya sheria
  8. L

    Ninavyomfahamu Ludovick Joseph Rwezaura (kilio cha usaliti)

    kawaida katika maisha ni hivi:unatakiwa kutunza siri za kikundi,chama au kampuni unalofanyia kazi hata ukiacha kazi tunza siri zao ndo uungwana huo.Kwa tabia yako si rahisi kuaminika na mtu yeyote tena kwa kuwa mkigombana unasema vyote mlivyofanya pengine kwa faida ya washindani wenu.ccm nasema...
  9. L

    Ninavyomfahamu Ludovick Joseph Rwezaura (kilio cha usaliti)

    Niseme mtela mwampamba kuwa wewe ni mtumwa,amini tu kuwa hauko chadema umevaa gamba.Issue ya uwakilishi kwenye kesi ni lazima uaminike kwanza bila hivyo hakuna anayeweza kusimama kwa ajili yako.Je ludo kama ameshasaliti kama ulivyofanya wewe kwanini watu wahangaike naye?nikupoteza nguvu ambayo...
  10. L

    Mchange, Shonza kuhamia CCM punde

    hawa wasaliti wakija kanda ya ziwa tutawapiga na mavi ya ng'ombe makavu yanaitwa ndelya,wajaribu sie tuko serious na ukombozi zao la pamba linashushwa thamani na hawa watu wa ssm wala hawana mpango wa kutusaidi
  11. L

    Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha

    Inapendeza kaka comment zako zina mashiko,hatupaswi kuogopa kuchukua maamuzi mazito kwa kisingizio cha kuonekana wadini,wakabila na wana ukanda.Ukikosea hat UTOKE MOSHI TANGA TANDAHIMBA AMA NAMTUMBO FAGIO LINAKUPITIA TU .KIKUBWA TUJEENGE HESHIMA NA NIDHAMU YA KUWATUMIKIA WATANZANIA
  12. L

    Tuhuma za William Malecela dhidi ya Heche na Dr. Slaa - Nampa siku 3 Vinginevyo...

    Hawa watu wako confused hasa Juliana anataka kuendelea na cheo wakati wakubwa anawanyea kwenye mikono sidhani kama alipitia chuo kikuu huyu labda tu amedesa sana.
  13. L

    WanaCHADEMA simameni imara, hizi ni pumba zinazopitiwa na upepo

    Mara nyingi upepo mbaya unapoyumba kwenye chama ni test kwa uongozi,mara nyingi uongozi makini hutatua matatizo kwa kufanya maamuzi magumu ,chadema wanaweza na watasonga mbele
Back
Top Bottom