Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
- Thread starter
- #21
kwa hiyo uelewa wa polepole fisadi ni lowasa peke yake ktk kizazi kilichopo cha ccm?polepole yuko sahihi mumemkera kuwaondoa wahasisi wa katiba ya wananchi na kutafuta wauni kukalia kiti kitakatifu,
nakumbuka kauri yake alisema ccm ,ukawa wakisimamisha fisadi nitawambia watanzania kuwa huyu ni fisadi hafai,
polepole ni mzarendo na mtu sahihi na ndo maana mumeanza kumvamia usiku inawezekana mnamtisha ili hasiseme ukweli ,
lakini hata akinyamaza milima itasema ukweli mungu hafanyiwi unafiki,,