Recent content by Luge son

  1. Luge son

    Bolt na uber wapi zinalipa?

    Habari jamani naomba ushauri na uzoefu kidogo kuhusu biashara ya Bolt na uber. Changamoto Faida zake Gari gani ya kutumia Maeneo mazuri ya kufanyia biashara. Nitashukuru sana kwa maoni mtayonipa.
  2. Luge son

    Naomba nafasi ya kazi

    Nipo dar es salaam
  3. Luge son

    Naomba nafasi ya kazi

    Habari za kazi ndugu zanga nimekuja mbele yenu kuomba nafasi ya kazi upande wa udereva magari madogo na bajaji, pia kazi za uuzaji wa maduka spare za magari nina ujuzi nazo lakini hata uuzaji wa bidhaa zingine naweza pia, lakini pia kazi sales naweza. Kwa yoyote anaeweza nipa direction au...
  4. Luge son

    Natafuta kazi ya udereva dm

    Habari wakuu ndugu zangu wana JF mimi ni kijana nimekuja kwenu kuomba kama kuna mtu anatoa bajaji ya mkataba kwa jijini Dar es salaam. Napatikana kimara Suka.
  5. Luge son

    Natafuta bajaji ya mkataba kwa mikoa ya dodoma na iringa.

    Habari wakuu ndugu zangu wana JF mimi ni kijana niliyehitimu elimu ya chuo kikuu. Nimekuja kwenu kuomba kama kuna mtu anatoa bajaji ya mkataba kwa mikoa hiyo. Niko tayari kufanya kazi hiyo kwani nina experience nayo nimefanya kipindi nasoma pia hata sasa kwa day worker tu. Mkataba ni 30000 kwa...
  6. Luge son

    Bajaji ya mkataba mkoa wa dodoma inatafutwq

    Habari ndugu zangu. Mtu yoyote anayetoa bajaji ya mkataba mkoa wa dodoma nahitaji iyo kazi. 0754837903
  7. Luge son

    Kazi ya ubber taxify au bajaji za mkataba

    Wakuu tusaidiane nafasi hizo kama zitatokea tusikae bure mtaani 0672532582 namba
  8. Luge son

    Fursa ya kwenda Israel kwa mafunzo ya kilimo cha kisasa

    Kitu cha muhimu ni kujiongeza kwenda wizarani au katika ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya ili waweze kukupa nguvu ya kuweza kusikika au kuwafikia watu au vyombo vinavyohusika na mchakato huo lakini jitahidi kujieleza vizu
  9. Luge son

    Kazi ya udereva na uber

    Nimekuja kwenu kuomba nafasi ya udereva au uber. Kama kuna mtu atakuwa anahitaji dereva anicheck 0672532582 napatikana ubungo. Niko tayari kuanza kazi muda wowote nina uzoefu wa miaka mitano. Pia hata bajaji naendesha.
  10. Luge son

    Mikopo ya bajaji na kirikuu

    Habari za kazi ndugu zangu. Mimi hapa ni muhitimu wa chuo nimekuja kwenu kuulizia ni taasisi gani ya kibenk inayotoa Mkopo wa bajaji au gari aina ya carry(kirikuu) kwa kuwa ndio biashara ambazo nina uzoefu nazo katika kuzifanya.
  11. Luge son

    Mikopo ya bajaji na kirikuu

    Habari za kazi ndugu zangu. Mimi hapa ni muhitimu wa chuo nimekuja kwenu kuulizia ni taasisi gani ya kibenk inayotoa Mkopo wa bajaji au gari aina ya carry(kirikuu) kwa kuwa ndio biashara ambazo nina uzoefu nazo katika kuzifanya.
  12. Luge son

    Usafirishaji wa magari madogo kwenda mikoani

    Habari za kazi wana JF? Kwa wale wenye shida ya kusafirishiwa magari yao kwenda mikoani au hawana uzoefu ma safari ndefu wanahitaji kusaidiwa karibu niwahudumie nina uzoefu wa miaka 4 katika kazi hiyo bila kusababisha ajali 0672532582 0754837903 Karibu Tukuhudumie
  13. Luge son

    Mwanamke anahitajika

    vigezo kwa mwanamke miaka 22 to 27 awe dini yoyote rangi yoyote asiwe tegemezi kupitiliza elimu form four kuendelea
  14. Luge son

    Natafuta kazi ya halali nipo Dodoma

    Habari, sasa nimemaliza chuo wana forum natafuta kazi yoyote ya halali kama udereva, kazi ya ofisini pia hata kazi inayohusisha biashara kwa sasa nipo dodoma lakini mkoa wowote naenda kazi ikipatikana
  15. Luge son

    Natafuta mwanamke

    wakati umefika sasa jamani nahitaji mwanamke wa kutengeneza nae future za maisha. naishi dodoma. mrefu kiasi. mweupe wastani. mwili wangu moderate sio mnene wala mwembamba. nina miaka 25. ukiwa tayari nicheki PM
Back
Top Bottom