Recent content by lugano GTB

  1. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga inapaswa kuchanga karata zao vizuri kwenye pre season

    Kwa hiyo nyie ndio mnaijua Yanga vizuri kuliko management ya Yanga wanaoshinda na wachezaji,Kocha n.k? Tuwasikilize nyie? Kama kweli ni wanachama wa timu kwenye vikao mnakuwepo kuwasilishamawazo haya au mnashinda mitandaoni kuwapopoa viongozi?
  2. L

    JamiiForums Tanzania Vitengo vinavyolinda Marais wa nchi za Afrika huwa wanajiuliza au washawahi kufikiria hili suala?

    Kifupi sana waafrika tunao uwezo mkubwa tu wa kuwaza,kuunda,kung'amua kama ilivyo huko ulimwenguni..hivyo kama tunao mafundi wa magari,mitambo,madaktari,kompyuta pia tunao wataalamu katika fani wa kuweza kujua devices au bugs zinazowekwa kwenye magari,mitambo,nyumba n.k kama itatokea wahusika...
  3. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga yamwekea pingamizi Rais wa TFF Wallace Karia

    Karia amefanya mazuri kipindi chake ila ifikie mahali apumzike kwa heshima atakumbukwa akiendelea kung'ang'ania atatoka kwa aibu kama Raisi wa zamani wa CAF issa hayatou au Raisi wa zamani wa FIFA Sepp Blater
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanapuuzia kumuomba Mungu wakati Mungu anasikia na kujibu maombi?

    Hakika siku za mwisho Mungu ata hubiriwa ili kila nafsi isikie na kushuhudia Yesu ni Bwana.Tunashuhudia kwenye mitandao ya kijamii,TV,Radio nk
  5. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakati Yanga walidai haki yao wao kama wao direct kwa mamlaka za soka, Simba wao wameenda kulia kwa mwandishi Micky apeleke FiFA

    NIMECHEKA HADI MACHOZI KILA NIKIANGALIA PICHA YA KUSUGU HAPO JUU
  6. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

    kumbukumbu zinaonyesha spain ziko zaidi ya mbili..
  7. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni baraka kwa walio na bahati nazo

    Ndoa sio ngumu kihivyo ni jinsi unavyotaka iwe ndivyo itakuwa.Shida dio mwanamke shida ni wewd mume kiongozi wa nyumba.Kijana kabla ya kuoa inabidi upate darasa la mahusiano ya kiutuzima.
  8. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya TFF kufumbia Macho mabaya yote ya Yanga matokeo yake ndio haya tunaanza kuyaona

    Madhara ya kuwa na washabiki wasiojua mpira bali ushabiki maandazi ndiyo haya mara GSM hatakiwi kudhamini timu nyingi,mara Yanga inanunua mechi,au Simba na Yanga zinaua mpira wa nchi sijui huo utafiti wameufanyia wapi? Ndio maana Serikali imeona umuhimu wa waandishi kuwa na elimu ya kiwango...
  9. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Duuuuh! hawa Yanga Sasa too much haya matakwa yao hayatekelezeki

    Hichi kitu kikibwa kuliko wengi wanavyofikiri kwa uchache 1.Serikalo.kuingilia mpira ni kinyume cha taratibu za FIFA 2.Pesa ya wadhamini haifiki kwa walengwa 3.Sheria hazifuatwi bali busara
  10. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ongezeko la single mothers ni matokeo ya Wanawake wengi kujirahisisha na kutotii wazazi au walezi wao.

    Sijui utafiti wako ni mkubwa kiasi gani lakini mimi naona kuna sababu nyingi mojawpao ni hizi 1.Idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume kwa sababu wanaume wengi wanakufa wangali vijana wakiwa kwenye harakati za kutafuta maisha (kufanya kazi za hatari mfano kufukiwa migodini wakiwa wanachimba...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Namba ya nani hii?

    Ni ya SSC wanapromote Club yao hata mimi nilipigiwa
  12. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kikosi cha Ibenge alichofungwa Mauritania jana ni kilekile alichoshinda Mechi ya awali Tanzania?

    Nimeipenda hii misemo ya kikabila
  13. L

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    big up concotdie 101 umemaliza
  14. L

    JamiiForums Tanzania Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    jusi waziri Kitila Mkumbo alitumia neno moja zuri nilipenda kwamba watz tuache kujichapa wenyewe kwa fimbo ndicho ninachokiona kwa watz wengi..kila mara tunajificha kwenye kichaka cha kulaumu bila hata kujaribu kwanza...niulize labda aliyelima kisasa akaenda kuuza nje hata hapa DRC,Kenya ,Comoro...
Back
Top Bottom