Recent content by lugano GTB

  1. L

    Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

    Football,Soka,kabumbu,mpira wa miguu ni ajira kubwa sana, Football ni biashara yenye mtandao mkubwa Football inaleta utulivu,amani,furaha na kiburudisho Football ni lugha wanayo ongea watu wa makabila yote duniani bila kujali rangi,umri,itikadi,mila na desturi Football inaongeza pato la Taifa...
  2. L

    Bei ya nondo inazidi kuporomoka kila siku

    ASANTE SANA KWA TAARIFA NZURI
  3. L

    Naibu Waziri atangaza Siku 14 kuondoa namba za 3D, madereva wa serikali kukiona

    Hilo zoezi pia likamate pikipiki zilizoweka mlio mkubwa wa oxorst pipe au kuweka mlio wa k7shtua mfano wa bastola inaweza leta kifo siki moja
  4. L

    Nazidi kupunguza mapenzi kwa mke wangu, naanza kufikiria kumuacha

    Kwenye ndoa ukiweka usawa nyumba itakushonda.Naweza kukupa ushauri aina tofauti hata mara 10 lakini nikuambie neno moja wewe bado ni maulana hujawa mwanaume...ukija kuwa mwanaume utajua nini cha kufanya
  5. L

    Our Father - Don Moen

    Nyimbo zenye uvuvio ni mpya kila siku hivyo usimshangae..inawezekana Roho wa Mungu kajifunua kwake leo kupitia wimbo huo wa sifa na kuabudu
  6. L

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi amanita mguuni
  7. L

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi
  8. L

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Timu yangu pendwa Arsenal ningeweza kuongea na kocha Arteta ningemshauri hivi aache kufundisha timu kucheza kivulana bali wacheze kiume.Bado kuna utoto mwingi arsenal ya arteta....ajifunze kwa Liverpool.....kuna muda unaitaji points sio show game
  9. L

    Simba imeamua kuua timu kwa makusudi kama ilivyofanya Azam ilipokuwa kwenye kilele cha ubora mwaka 2017

    Umeongea points za maana ila sidhani kama watakuelewa......japo mimi nashabikia upended wa pili kuimarika kwa simba ndio kupanda kwa mpira wa Yanga na Tanzania
  10. L

    Asilimia mia moja tunapita, ila kuna sharti dogo sana

    Tunahitaji kocha wazalendo yaani watanzania,ikiwezekana Serikali igharamie kusomesha makocha 100 kwa mwaka mmoja ulaya,kipaumbele kocha awe mtu aliyewahi kucheza mpira ...tutapiga hatua kuliko hawa makocha wa kigeni.Tujifunze kwa waliofanikiwa wengi walitumia kocha wazalendo
  11. L

    Ukitaka kujua ngozi nyeusi ni laana, mfuatilie refarii anayechezesha Taifa stars na Moroco

    Ingawa sikutegemea Tanzania ishinde ila Kocha wetu alikosea kupanga kikosi hadi mfumo.Mwanyeto,Aishi, hawakutakiwa kuanza quality zao miezi ya karibuni iko chini.Kocha anatest mfumo mpya 5,3,2 kwenye mochi kubwa halafu mpango wa kushambulia kwa kushtukiza ulimtaka kibu Denis na feisal salum.Ni...
  12. L

    DOKEZO Serikali iko wapi masoko yanakuwa machafu kiasi hiki? Kipindupindu kitatuacha?

    Hivi tunashindwa wapi waafrika? Akili tunazo,elimu ipoh na rasilimali watu ipo japo rasilimali pesa ni kidogo naamini tukiamus tunaweza na tulishaliweza enzi za mwendazake kipindi cha usafi kila jumamosi
  13. L

    DOKEZO Serikali iko wapi masoko yanakuwa machafu kiasi hiki? Kipindupindu kitatuacha?

    Hii mada ni muhimu sana mamlaka husika zichukue hatua,haya ndiyo mambo yanayoweza kuinua Taifa au kuliangamiza.Ni suala mtambuka yaani pana sana.
Back
Top Bottom