Football,Soka,kabumbu,mpira wa miguu ni ajira kubwa sana,
Football ni biashara yenye mtandao mkubwa
Football inaleta utulivu,amani,furaha na kiburudisho
Football ni lugha wanayo ongea watu wa makabila yote duniani bila kujali rangi,umri,itikadi,mila na desturi
Football inaongeza pato la Taifa...
Kwenye ndoa ukiweka usawa nyumba itakushonda.Naweza kukupa ushauri aina tofauti hata mara 10 lakini nikuambie neno moja wewe bado ni maulana hujawa mwanaume...ukija kuwa mwanaume utajua nini cha kufanya
Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi amanita mguuni
Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi
Timu yangu pendwa Arsenal ningeweza kuongea na kocha Arteta ningemshauri hivi aache kufundisha timu kucheza kivulana bali wacheze kiume.Bado kuna utoto mwingi arsenal ya arteta....ajifunze kwa Liverpool.....kuna muda unaitaji points sio show game
Umeongea points za maana ila sidhani kama watakuelewa......japo mimi nashabikia upended wa pili kuimarika kwa simba ndio kupanda kwa mpira wa Yanga na Tanzania
Tunahitaji kocha wazalendo yaani watanzania,ikiwezekana Serikali igharamie kusomesha makocha 100 kwa mwaka mmoja ulaya,kipaumbele kocha awe mtu aliyewahi kucheza mpira ...tutapiga hatua kuliko hawa makocha wa kigeni.Tujifunze kwa waliofanikiwa wengi walitumia kocha wazalendo
Ingawa sikutegemea Tanzania ishinde ila Kocha wetu alikosea kupanga kikosi hadi mfumo.Mwanyeto,Aishi, hawakutakiwa kuanza quality zao miezi ya karibuni iko chini.Kocha anatest mfumo mpya 5,3,2 kwenye mochi kubwa halafu mpango wa kushambulia kwa kushtukiza ulimtaka kibu Denis na feisal salum.Ni...
Hivi tunashindwa wapi waafrika? Akili tunazo,elimu ipoh na rasilimali watu ipo japo rasilimali pesa ni kidogo naamini tukiamus tunaweza na tulishaliweza enzi za mwendazake kipindi cha usafi kila jumamosi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.