Recent content by ludoworld86

  1. L

    Tinted za kimarekani kwenye gari tunazipenda lakini zinahitaji uvumilivu tu kwakweli

    Watanzania huwa hatufanyi research ya kutosha. Hakuna hata mmoja aliyetaja shade level. Zipo, light, medium, dark, very dark mara nyingi zinakuwa rated kwa percentage % i.e 5%, 35%, 70% etc kuendana na kiwango cha mwanga ambao inaruhusu. Namba za juu 70, 80 ni light, unavyoshuka zinakuwa dark...
  2. L

    Musa Venerable Mziba hajapatikana. Polisi waombwa msaada

    Mnaouliza anajihusisha na nini, Hajawahi kujihusisha na biashara haramu. Hana roho hiyo. Ana kampuni ya kutengeneza film. Alianza na Zest films, then mziba investment.
  3. L

    Engine oil ya Subaru forester 2008

    Tuachage uvivu. Gari nyingi kama sio zote zinakuja na owners manual kwenye glove compartment. Ina maelekezo yote kuhusiana na chombo chako. Kuanzia oil type ya engine, gear box. Ubadilishe baada ya muda gani. Wewe ndio umuelekeze fundi.
  4. L

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Suspension system. Crown ina double wishbone mbele na multi link suspension nyuma. Comfortability yake inatokea hapo.
  5. L

    Umewahi ziona hybrid cars hapa bongo? Je, zinastahimili changamoto mbalimbali? Wataalamu karibuni!

    Ni post ya zamani, ila tuwekane sawa. Hybrid cars hazina port ya ku plug umeme. Zinatumia process inaitwa regenerative braking ku charge batteries. Pale unaposhika brake ukiwa kwenye mwendo. Kuna energy inakuwa produced, ndio hiyo inatumika kucharge batteries.
  6. L

    Msaada kuhusu ulaji wa mafuta wa gari yangu

    Mkuu una ujuzi wa ku interprate fuelt trims ? Ama unafahamu garage yenye ujuzi huo ?. Nimekuja kurealize garage nyingi zenye majina, wana scanners na hawajui kuzitumia. Mwisho wao ni kusoma fault codes tu. Na hizi cases za ulaji wa mafuta, mara nyingi hautaona fault code cause pcm inajiongeza...
  7. L

    Mnaomiliki na kutumia Volkswagen 'chuma ya mjerumani' ni gereji zipi mnafanyia service & repair? Popote pale nchini

    Well, mkombozi amepatikana. 1) Hizi chuma za mjerumani sio kwamba zote ni perfect. Kuna generations korofi pia za ku avoid. The same kwa Toyota, honda n.k 2) Mafundi wengi bongo wababaishaji na watakuharibia chimbo chako usipokuwa makini. 3) Namna gani utaishi nayo ni suala lingine pia. Wengi...
  8. L

    Jinsi ya kugundua simu feki za samsung

    Ingiza code hii *#0*# kisha piga. Utapata menyu ifuatayo:- Bonyeza tab ya red na screen yako itabadilika rangi na kuwa nyekundu. ukibonyeza tab ya green screen yako itabadilika kuwa kijani vile vile. ukibonyeza tab ya vibrating simu yako ita vibrate n.k Hakikisha tabs zote zina react kuendana...
  9. L

    Kifurushi cha Happy hour

    Hilo tatizo sijawahi kupata, ningekushauri ucheki na customer care vodacom. Mitandao ya bongo iko very biased siku hizi. Mfano: kwa mtu aliyezoea kuweka bundle za 10,000/=, baada ya muda flani wanamzuia kuweka bundle za chini ya 10,000/= (bundles za 2,000/=,5,000/= hutaziona kwenye menu yako...
  10. L

    Kifurushi cha Happy hour

    Nimeitumia sana, tangu iko 300. kwa sasa dial *147*199# unapata 60 minutes unlimited download + browsing. kingine kizuri kwa hii ni kwamba unaweza ukajiunga ukiwa ndani ya wajanja night (chochote utakacho download hapa hakitakuwa counted kwenye 1gb ya wajanja night bali happy hour). dkd 60...
  11. L

    Android Phone without ROOT ACESS is like an African woman not bearing children

    After rooting, Chainfire is another app you can install If you have a low spec. smartphone ( hii ina improve performance ya games zilizokuwa designed for high spec phones ). meaning you will be able to run your games with almost zero lagging. What it does is reducing texture size and quality to...
  12. L

    4g internet

    smile ina speed ya ukweli ila bei zao zimechangamka pia. Ukicheza 10 gb inaisha ndani ya masaa machache. n.b. Lazima u block windows update, etc else umeumia.
  13. L

    Vodacom Wajanja Night sio unlimited tena

    Sio tetesi, ndo habari yenyewe. Hii ndoa ilianza kuyumba 2 months ago. Huo ndio mwisho wake. Kilichobaki ni kufunga ndoa na maWIFI, mshenga atakuwa kali_linux. Tafanyaje sasa !!
  14. L

    Mnaotumia iOS hii inawahusu

    crackberry.com
  15. L

    Mnaotumia iOS hii inawahusu

    Here is a better one. appgratis.com Inapatikana kwenye ANDROID, IPAD and IPHONE. Kwa android, "blackmart" is a killer one, also filechoco.com. Also u can install paid apps in IOS without jailbreaking. I have dowloaded like 20 gb paid apps till now. This one needs ample time to clarify.
Back
Top Bottom