Recent content by lucy01

  1. L

    Watumishi wa NMB Mafinga na kudharau wateja

    Husika na mada tajwa hapo juu. Hii benki wafanyakazi wake hawajali wateja hasa tawi tajwa hapo juu sijajua hawajafundishwa customercare au shida ni nini Nilipeleka changamoto yangu najaribu kufuatilia hawanipi majibu ya kueleweka. Natamani hata hii kadi yao nikaitupe chooni.
  2. L

    Biashara sita (6) unazoweza kuanza na mtaji wa laki moja tu na ukapata faida kubwa

    Dagaa ni biashara nzuri ila hapo mtu mwaminifu wa kukuagizia toka mwanza
  3. L

    Mapumziko ya Jumamosi na Jumapili yafutwe AFRIKA kuongeza siku za kazi kwa maendeleo yetu

    Kwa mishahara ipi masaa ya kazi yenyewe yanafaa yapunguzwe
  4. L

    Kanisa katoliki Tanga mjini

    Jaribu kugoogle mm niliwahi google
  5. L

    Nahitaji mpenzi wa kike wa kudate nae tuenjoy maisha

    Kumbuka condom UKIMWI upo unawinda vijana
  6. L

    Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

    Mbona raha angekuwa ni wa story tu bila sex ungelalamika pia
Back
Top Bottom