Husika na mada tajwa hapo juu. Hii benki wafanyakazi wake hawajali wateja hasa tawi tajwa hapo juu sijajua hawajafundishwa customercare au shida ni nini
Nilipeleka changamoto yangu najaribu kufuatilia hawanipi majibu ya kueleweka.
Natamani hata hii kadi yao nikaitupe chooni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.