Recent content by lucley

  1. lucley

    Ushauri ndoa ya kislamu?

    -Tent unaweza ndoa funga msikitini baada ya swala ya faradhi. Dufu ondoa mkuu, hakuna dalili inayosupport ( na kama itakuwepo basi inafaa iwepo kwa wanawake tu) Dua ya ndoa hatuna kitu kama hicho Funga ndoa msikitini, chakula kinapikwa na kuwa packed kwenye "take away" paper plates kinagawiwa...
  2. lucley

    Mitume na manabii ni watu wa aina gani katika Uislamu?

    Kwa mujibu wa uislamu, mtume au nabii ni muonyaji au mhadhiri aliyetumwa na Mwenyezi mungu kwenda jamii fulani ya watu ila kuwaonya, kuwafundisha na kuwakumbusha juu ya Mungu mmoja aliyewaumba na ambaye wanapaswa kumuabudu. Mitume/nabii walikuwa ni kiigizo chema kwa jamii zao kimatendo na wenye...
  3. lucley

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Laki na 40 hapana, possibly ni 190k mpk 200k
  4. lucley

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Mbeya to arusha na rav4 kilitime, niliweka mafuta jumla ya 240k, lita 83. Nimefika arusha gauge ipo almost (near to) ½. Kwa magari yetu haya ya kizamani naona ni decent consumption. Engine 1zz
  5. lucley

    Madereva wa Formula 1, ni "Marubani" wa Jet za ardhini

    Uzi mzuri, mimi pia ni miongoni mwa niliodhani huu mchezo ni wa starehe, kumbe sikujua mpaka pale nilipoamua kuwafuatilia kiundani. Hamilton anaelezea kuwa uzito wa dereva ni kitu muhimu sana kwenye race, na unakuwa calculated. Usizidi wala usipungue. Pia wanafanya sana mazoezi ya shingo, misuli...
  6. lucley

    Mlikaa muda gani baada ya kuoana kabla ya kupata mtoto?

    Usiwe na wasiwasi mkuu, mwenyezi mungu hutoa kwa wakati. Mimi nilipata mtoto wa kwanza nikiwa chuo mwaka wa mwisho, kwa bahati nzuri au mbaya wife (by that time she was my girlfriend tu) alijifungua kwa operation and during operation, dokta akagundua kuwa ana uvimbe kwenye mirija ya uzazi and...
  7. lucley

    Ushawahi kumfanyia mtoto wa kike ubandidu?

    Aliomba apitie kwangu akae siku mbili tatu then aunganishe safari kuelekea kwao. Cha ajabu akaja full mkoko na debe la viazi vitamu plus kubadilisha gia angani kuwa atakaa likizo nzima. Aiseeee niligeuka mbogo nikamwambia asubuhi nikiamka kwenda kazini tunaamka wote nakuacha stendi. Alidhani...
  8. lucley

    Ni siri gani kuhusu wewe ambayo hautaki watu wako wa karibu waijue?

    -Sipendi kuelezea mipango yangu ya maendeleo kwa mtu - sipendi kumsimulia mtu mwanamke gani nadate nae
  9. lucley

    Je utajiri hutafutwa au hukufuata wenyewe?

    Mtu anaweza kufariki due to prolonged muscle contraction na nerve over stimulation mkuu, mungu fundi aliweka kiasi kwenye kila kitu.
  10. lucley

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Kudos mkuu, ulitembea vizuri sana na ulitunza muda.german machine[emoji123][emoji123]
  11. lucley

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Arusha-- mbeya, One man show. Nilitoka arusha 0626, nikafika mbeya saa 5 usiku. Nilipumzika dom almost nusu saa na iringa almost lisaa 1.
  12. lucley

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Nilifika salama mkuu, ashukuriwe mwenyezi mungu. Nlitoka dar saa 12 nikafika machame saa 11. Nilitembea kifaza sana maana nilikua na familia.
  13. lucley

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Jana hio, mbeya-- dar. Next dar- arusha.
  14. lucley

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Wakuu, wiki ijayo natarajia kuwa na safari ya dar- arusha, itakuwa ni mara yangu ya kwanza kupita njia hii. Naomba tips za hapa na pale na za kiusalama kuhusu hii njia.
Back
Top Bottom