huu uzi si mchezo yaani unaweza kujua hali halisi ya mtumishi wa umma , inanikumbusha sana wakati wa boom, kwa kweli sasa kila mtumishi ajaribu kuwa mbunifu wa namna ya kujiongezea kipato. manake naamini kwa hali hii huu mshahara kwa walio wengi haumalizi wiki baada ya kuupata:):)
Na mtakapopata mishahara mkumbuke kuwa kuna sherehe za mwisho wa mwaka pamoja na Ada za watoto January, jipange mapemaaaa sio kuanza kwenda shule january na kubembeleza walimu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.