Serikali yetu imefulia what a joke. Kama kipindupindu kupambana nacho na Dk.Magufuli ana nguvu za kuifanya siku yoyote iwe bank holiday so why not do it sooner than later. It's not rocket science
Pole sana Mtanzania mwenzangu kama hii ni ya kweli basi inasikitisha beyond measures the government has failed you missarably. Ushauri uchunguze wengine wamepata nini na mjaribu kufanya maandamano ya kupinga kilichotokea. Mnaweza kufanya hivyo kwa kujaribu kupata msaada kutoka kwa wanafunzi...
Mimi Mpinzani wa CCM ila niseme Watanzania wengi wetu bado hatujatambua thamani ya vitu vyetu kama lugha ya kiswahili. Ni lugha nzuri sana na kuna filamu nyingi tu za Kimarekani unakuta wametilia neno la kiswahili na nchi nyingi zinazotuzunguruka wanaongea kiswahili na google kuna lugha ya...
Kwa mimi ninavyojua wanasiasa wa nchi zilizoendelea wakitoa ahadi kama hii hutimizwa ila inapangiwa mkakati kama elimu bure chama kilichoshinda 2015 hiyo system ingeanza labda 2018 baada ya kujipanga na kuwekea bajeti ya kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.