Umenikumbusha kuna jamaa nilikuwa namdai kama laki nne alinitamkia maneno hayo hayo na kunipa hosia kama atakufa ndugu zake watanilipa, nikamweleza mzee wake asije kujiua kisha deni langu nashukuru mungu alinilipa japo kidogo kidogo sana akamaliza
Siku napokekewa kazini nilifikia kwa boss wangu ilikuwa usiku nikakalibishwa ndani msosi ukaletwa tukala kisha muda wa kulala ukawadia nikaonyeshwa chumba cha kulala kufika chumbani ndilo jiko hutumika kuna magunia ya mpunga ndoo za maji vyombo mtungi wa maji ya kunywa full makorokocho,mchana...
Mkuu barabara mbaya kule kuanzia tabora kwenda mpanda mjini kisha kuelekea mpimbwe huko vumbi tupu na mashimo ovyo na kuanzia kibaoni kwao na pinda lami kiasi kisha vumbi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.