Ndugu zangu watanzania,
Tarehe 8/9/2025 ndo WATANGANYIKA tunaanza harakati za ukombozi huru wa taifa letu. Kama wewe kijana mpenda nchi yako tukutane mahakamani siku hiyo kwenda kumpa sapoti na kumpigania shujaa wetu,
Ni siku muhimu sana kwetu kwenda kuiandika historia mpya ya kumuunga mkono...
Ndugu zangu watanzania,
Leo sina maneno mengi ya kuongea nanyi Bali nimewaletea tu matokeo na FAIDA ya ELIMU bule katika awamu ya sita
Hakika mama katufikia watanzania na tuna mpenda na tunatamba nae na ELIMU tunasoma bule na hakuna necta la Saba wala kidato Cha pili SI kwenda tu mbele kwa mbele
Ndugu zangu watanzania,
Ni kweli watanzania wote kwa pamoja, tumeona sinema iliyokuwa ikiigizwa Jana na kweli mwandaaji wa sinema alipatia namna ya kuandaa sinema yake na kuwa andaa vyema waigizaji wake na ukweli sinema ilikuwa ni ya kuvutia
Uhuni na maigizo yaliyo kithili mithiri ya sungura...
Ndugu zangu watanzania
Nabubujikwa na machozi ya huzuni Leo hii ndugu yenu ukweli nimepambania saccos yetu kwa nguvu kubwa kuipamba kuwa saccos yetu ni nzuri na Haina ubadhirifu wala wizi wa Amana za wanachama.
Ndugu zangu saccos yetu imekuwa ikipata fedha ya ufadhiri kwa ajili ya kujiendesha...
Ndugu zangu watanzania,
Mama ni mama lakini si mama wakambo mana mama wa kambo yupo kwa ajili ya maslahi ya wanawe na ndugu zake wakalibu lakini ni nadra mama wa kambo kujali watoto wa mumewe ikiwa mumewe hayupo hai
Nilijitahidi kumtetea mama wa kambo nyumbani na kuwa ambia ndugu zangu kuwa...
Pole pole yupo kwa maslahi ya watanzania wote huyu yupo kutetea tumbo lake
Muda mwingine tusimame na ukweli nadhani we mwenyewe unanifahamu jinsi Gani nimevyokuwa nakipambania chama humu jukwaani lakini ndo hivyo nimesalitiwa na wajumbe na chama kwa ujumla
Nimebubujikwa na machozi ya huzuni baada ya kusikia eti ukiona sura ya polepole utashindwa kunywa chai nikuulize Mzee wangu kwa kauli hii hivi
UNA MARINDA KWELI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.