Mahangaiko yameanza

Mahangaiko yameanza

kwana shida iko wapi madogo

binafsi ukiniuliza jambo lolote nitakujibu 'tukutane kwenye vema'
 
Fikiria huyu mwenye hiki chombo cha habari atafanywa nini na wananchi siku haya mashetani yakitolewa madarakani
 
Acha tu bwashee Mshana Jr naona wameenda kumchukua Kanali Mlunga wakidhani akiongea watu munkari utashuka kwa sababu alikuwa ADC wa Magu

Wasichojua ni kuwa Wananchi tumechoshwa na Ufisadi wao na tabia zao za kututeka, kutuua na kutufungulia kesi za uongo.
Wasichojua ni kuwa Wananchi tumechoshwa na Ufisadi wao na tabia zao za kututeka, kutuua na kutufungulia kesi za uongo.📌🔨
 
Leo utadhani ni jumatatu kumbe weekend ya Saturday
1759606582378.jpg
 
Back
Top Bottom