Katika watu ambao nilikua nachukia nikisikia MUUNGANO uvunjwe ni Mimi lakini kwa haya wanayoyafanya WANZAZIBAR kwa Sasa sitaki kusikia MUUNGANO Tena Bora kila mtu awe kivyake wapemba warudi kwao
Tigo kupitia huduma yao ya BUSTISHA leo siku ya 3 imetukata wateja wake mara mbili ya kiasi walichotakiwa kurudishiwa na wateja lakini mpaka sasa tunahangaika kuwapigia simu wanachojibi ni majibu rahisi kuwa pesa utarudishwa ndani ya masaa 24 na sasa ni zaidi ya masaa 72 bila pesa kurejea...
huduma kwa wateja ni mbovu baada ya kukipa msaada wanakuzungisha ili warambe pesa za wateja na bodi ya michezo ya kubahatisha hawana kitengo cha malalamiko kwa wateja ni kama wanashiriki kuwaibia wateja
Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania ni chombo cha udhibiti wa michezo ya kubahatisha ambacho kilianzishwa chini ya Sheria ya Michezo ya Kubahatisha Sura. 41 na kuanza kutumika tarehe 1 Julai 2003. Ina jukumu la kusimamia, kufuatilia na kudhibiti uendeshaji wa shughuli za michezo ya...
Kampuni ya ubashiri ya meridian wanatengeneza mazingira ya wizi kwa wateja wao wanazuia akaunti za wateja kutoa pesa ukipiga huduma kwa wateja wanatoa sababu zisizo eleweka na kukupa masaa 24 hewa ukipiga tena hawapokei na namba yao ya huduma kwa wateja inatumia gharama kwa mteja mwenyewefano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.