Kutoa motisha kwa watumishi wa wizara ya afrika mashariki ni busara sana, Lakini mdogo wako kikwete hatambui umuhimu huo, anawanyayasa waalimu, madaktari, wazee wa afrika mashariki na wengine wengi.
Kitendo cha sita kuwatambua watumishi wa wizara yake ni tafsiri tosha kwa jakaya kikweta...