Cognitivist
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,057
- 2,092
we mkaree, nimeipenda makala makala yako. Umeiandika kwa ubunifu mkubwa na japo ni ndefu lakini inavutia kuisoma. Hongera sana.
Well said. Viongozi wa majeshi ndio kikwazo cha mapinduzi nchini. Wanajeshi wa kawaida wanataka sana kuipindua serikali ila viongozi wao ndio stumbling blocks.
kuna waandishi wa habari wavivu wa kufikiri ..hii makala utaikuta kwenye magazeti yao ya jumapili....wamekopy na kupaste..
hongera kwa uandish mahiri
unajua hapa kwetu watu watapiga keleleeeee mwisho yatapita kama alivosema UPEPO UTAPITA !
Usiwe mchoyo ,kuna watu hawana access ya kuingia humu nayo ni jamii inastahili kupata hiki ambacho unaona waandishi kama wa vivu usiwe na mawazo membamba huo ni ubinafsi .