Recent content by Lowasa 2015

  1. L

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Si ajabu watu wenye mtazamo wa kimaslahi ktk siasa kuona kuwa hawa vijana wanatumiwa na kupewa fedha za kuendesha shughuri zao hizi. Ni vyema sasa kila mmoja wetu asiwe mbashiri na mkisiaji wa nini 4u wanachofanya kuwafatilia na kujua habari zao unaweza kuingia katika web site zao na ukapata...
  2. L

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Ni vijana waliojitambua na kujua ukweli unaofichwa na propaganda za kisiasa ambazo siku zote zimekuwa zikiligharimu taifa hili na kufikia hatua ya kupata kiongozi ambaye hana uwezo wa kuamua maamuzi magumu yanayo husu maslahi ya taifa letu na mwenye kutuletea matumani mapya katika mustakbali wa...
  3. L

    James Rugemalila afungua kesi Mahakama Kuu

    Au ni kusubiri E.Lowasa 2015
  4. L

    James Rugemalila afungua kesi Mahakama Kuu

    Atatuua tu huyu. Na yeye tumpe hela tena ah bora mi niondoke ktk nchi hii ishakuwa ya Rwegamalila na singa tutashindwa fanya kazi nyingine sasa na huu si uzalendo. Wao wamkamate mwizi wetu tu huyo PAP
  5. L

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Tunamuogopa sisi lkn hatuna sababu ya kumuogopa kwa sababu haogopeshi mtu ni sisi tu ndiyo tunaogopa kwa sababu ni waoga wa kuwa na kiongozi mwenye uwezo wa kuwaambia wapambe kuwa ikuru ni sehemu takatifu. Tusimuogope E. Lowasa 2015
  6. L

    Escrow, Dowans. Richmond ni kampuni za Lowassa?

    Leo tumejionea kifo cha kashfa ya account ya tegete escrow namna ili zimishwa na kupunguzwa joto lake. Lkn inasemekana huo ni mwanzo tu wa kashfa zinazo kuja baada ya hii. Nazo sijui joto lake litakuwa vipi? Au wahusika watatoa mbwembwe gani kama tulivyoziona za Hii ya Escrow. Kikubwa tumeona...
  7. L

    Escrow, Dowans. Richmond ni kampuni za Lowassa?

    Sikuelewi? Jiwe la maji haliumizi hata hayo matusi utakayo nitukana hayata niumiza yatakua ya maji. Bado umelala
  8. L

    Escrow, Dowans. Richmond ni kampuni za Lowassa?

    Nimeona vyema niwaulize wenzangu wenye maono ya kujua siri za watu hata kama wenye siri wao hawajui lolote. Ni huyu huyu Lowassa ndiye aliyesemekana yeye ni muhusika mkuu wa kashfa ya Richmond na kwa ujumla ni kampuni yake Kwa mbwebwe zilivyo chambuliwa Herufi za Jina lake na la mwanae kuonyesha...
  9. L

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Edward Lowasa toka aanze kufanya shughuli za kijamii baada ya kujiuzuru uwaziri mkuu. Baadhi yetu tumekuwa na woga naye sijui kwa sababu gani waliyo iyona kwake ya kuwatisha. Kila umuulizaye atakwambia ni fisadi ukitaka athibitishe madai hayo hilo linakuwa kwake ni swali la dola milion moja...
Back
Top Bottom