Kama upo Dare salaam mtafute huyu mtaalamu anaitwa George yeye ni Occupational Therapist namba yake ni +255656050300 .amespecialize kwa watoto wenye Usonji ..atakusaidia usikate tamaa utanipa mrejesho asante
Msaidie mtoto asante sana muanzisha mada mtoto anaitwaBakari Omary ambaye amezaliwa mgongo wazi,anahitaji mkubwa wa wheelchair na pampas.ana umri wa miaka 13,anasoma darasa la sita wheelchair aliyokuwa anaitumia imechoka na kuharibika.sasa hivi anajivuta chini hawezi Tena kwenda shule anahitaji...
Wameeipoti tu na kuanza kulalamika ...ninakumbuka mwaka 2010 janury nilipoajiriwa halmashauri niliripoti nikaambiwa nikakae nyumbani nikawaomba nifanye kazi kwa kujitolea hadi fedha itakapotoka ..na nilikuja kuipata april
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.