Recent content by low thinking capacity

  1. low thinking capacity

    Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

    Bora uoe mwanamke anayefanana sura na fid q lakini mpambanaji lakini wewe umeoa kutazama sura na big nyashi kutwa yupo TikTok na insta. Mpende Ivo Ivo alivyo hakuna namna
  2. low thinking capacity

    Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

    Mbeya sehemu gani? Unauza Bei gani iyo nyumba?
  3. low thinking capacity

    Baadhi ya wanaume kiuhalisia wanatufanya tuonekane wote ni wapumbavu hapa JF

    Kataa ndoa Ndoa ni utumwa Kuoa au kuolewa ni uamuzi Akili kumkichwa
  4. low thinking capacity

    Taja madeni yako unayodaiwa

    Sadaka kwa watu wasiojiweza Nimemsahau mungu Ndio madeni nayodaiwa
  5. low thinking capacity

    Ukihisi umelogwa fanya haya

    Tumia nguvu iliyopo ndani yako
  6. low thinking capacity

    Ni kweli Kiarabu ndio lugha pekee ya Peponi?

    Ishi kwa unachokiamini usipende kuaminishwa kwa Kila kitu
  7. low thinking capacity

    Je, una imani na jeshi la polisi kuomba escort unapokuwa na fedha au madini?

    Imani imepotea kwa jeshi letu kiasi hiki sijapenda
Back
Top Bottom