Day moja mida ya jioni nlikua napiga stori na mama fulani hapa jirani yangu, stori zilipo fika tamati nika muaga naondoka, akasema chukua hi Mai mbili(Karume) mpelekee mkeo jana aliniazima hela ya kibiriti, nikaichukua nikaitia mfukoni nikasepa zangu kuelekea home, nlipofika home wife sikumkuta...
Umetimia kwa 50% bado 50% mkuu, nadhani Uzi huu tuuPIN na ukitimia kwa kadri ya maandiko haya Basi tuuweke kwenye vitabu vya historia ya Tanzania (nadhani haitapita miaka 4);
Umesoma ila hujamwelewa ndugu yetu, em rudia Tena kusoma ukisha mwelewa njoo umwepushe na jela za huko China maana kule atapimwa korona kwa kipimo kipya aisee[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Usijali broh! Haya Mambo Ni madogo mnooo...awali ya yote em tupe namba za Shem wa kichina kwanza tuyamalize kifamilia zaidi, kuhusu huyu wa huku bongo, huyu tuachie sisi tutaandaa kikao maalumu Cha kamati kwa sangoma pale, hatuezi acha hela iende buree lazima ije bongo.
mkuu pole... Kwamza tambua haupo pekeako, wengine katika hali kama yako wapo na familia pia but life inasonga kikubwa pumzi ... Chakufanya kila siku amka asubuhi na mapema mshukuru Mungu, kisha fanyia usafi chumba chako na mazingira ya hapo nje, kisha washa moto na uchemshe maji nenda oga...
Waafrika buana...mtu anasema tena macho kodooooo...."FYEKENI MAPORI MLIME, MBONA MAPORI NI ZAIDI YA 70%" akati huyohuyo anaPREACH kutwa nzima kwamba UKAME UMEZIDI... Sisi tumerogwa na mchawi wetu kafa... mzungu hawazii miaka BUKU IJAYO yeye anawazia THE FUTURE OF OUR MOTHER EARTH bila hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.