Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,246
Yani ukiwa na miaka 53 ndy uanze kua na 'kibanda', si ndiyo Baba?Huna sababu ya kukata tamaa, mi hapa nipo 45+, nna watoto 6 wote wanasoma, sina hata nusu futi ya kiwanja cha kujenga. Hapa ndio napiga plan baada ya miaka 8 nipate hata kibanda cha kulala
Motivational booksKazi huzipati hapa! Change your mind set you will get into the game!
😄😄anza kufuga wawili tu!!!dawa kwa sana hata wa kienyeji tu!!!
Mkuu omba uzima,usikate tamaa tena unaweza wewe ukaja kucheka kwenye fainali uzee kuliko hawa ambao sasa wanashika maburunguta ambayo yanaishia kwenye misambwanda na baadae wanakuwa alosto,hata Piere Liquid alikuwa hajui yajayo mkuu,tafadhali omba tu corona ikupitia mbali huo umri bado sanaNaombeni msaada wenu wakuu ambao waliokwisha pitia hali kama hii ninayopitia mimi. Nina miaka 30 na kitu, sina ninachomiliki zaidi ya godoro langu, radio ndogo ya muziki, vyombo vya udongo ndani ya beseni pamoja na nguo zangu.
Nahisi kukata tamaa kabisa na haya maisha. Mliokwisha pitia hali kama hii yangu kwenye umri huu na ukawa kwenye maisha kama haya, ilikuwaje? Naombeni mnisaidie kimawazo.
Kuna muda natamani hata corona ije upande wangu, nahisi kukata tamaa kabisa.
Sina kazi, sina kibarua kabisa. Maisha yamekuwa magumu sana upande wangu.
Karibuni kwa mawazo yenu, wakuu.
Ndio maana yake yaniYani ukiwa na miaka 53 ndy uanze kua na 'kibanda', si ndiyo Baba?