Recent content by lovey62

  1. L

    JamiiForums Tanzania Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Antoni Komu si ndo yule msalitiii...anatafuta nini humu?Na amekatwa! Alinunuliwa 2010 huyu mnanihiiiiii
  2. L

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

    Mwigulu Nchemba aliyesuka kesi ya Ugaidi dhidi ya Lwakatare wa CHADEMA. Leo hii tumpe uraisi? Kuch nehii!
  3. L

    JamiiForums Tanzania Lwakatare: "nina roho ya paka!"

    Makamanda wakati Wa kuimbiana ngonjera na mashahiri ufike mwisho. CCM ni sikio LA kufa.... Kazi ya kuleta mabadiliko ya kweli inahitaji kujitoa na kuwa na dhamira ya kweli. Haiitaji watu wenye hulka ya kuendekeza njaa. Uzoefu wangu was miaka 19 katika siasa zetu hizi za kienyeji unaonyesha...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Ubunge wa Mh. Kagasheki mashakani Bukoba Mjini

    Mwaka huu akiiba na sisi tutaiba..Lwakatare ni MTU mwenye maono ya kutupa bukoba tuitakayo. Mungu atampigania na kila mwana Bukoba mweye akili timamu am support Rwakatare.
  5. L

    JamiiForums Tanzania ACT Tanzania wamepata wapi pesa za promo star Tv?

    Jamani..chama hakijazinduliwa siku zoooote ndo kinazinduliwa baada ya zitto na Afande sele kuhamia? Nashindwa kupata tafsiri yake hapa.
  6. L

    JamiiForums Tanzania UKAWA Jimbo la Bukoba mjini lipo wazi kabisa, lakini si Lwakatare tena

    Mtu aliyechoka yuko hivi; 1) Ndiye Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa Chama chenye wanachama zaidi ya bilioni moja ndani na nje ya nchi. 2) ndiye kiongozi mkuu wa Red Brigade inayowaumiza vichwa CCM. 3) kwa waliofanya kazi na hili jembe wanamuelewa Lwakatare Muganyizi kama mtendaji muadilifu...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

    Wilfred Lwakatare-Bukoba Mjini
  8. L

    JamiiForums Tanzania Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

    Kaka Zitto alishanunuliwa zamaaani Sana. karma ndo imemkuta Zitto Pascal..yeye ndiye alishikia mabango Wilfred Lwakatare afukuzwe CHADEMA mwaka 2013. Leo karma ndo imemkumba yeye 'AMEFUKUZWA'. Dicsipline ni kitu muhimu Sana ktk institution yoyote. zitto pamoja na kuwa na ushawishi...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Lala Salama Kapteni Komba - Namlilia Chiriku!

    ahsante Baba yetu Mwanakijiji lakini; naionea haya nafsi yangu kusema kwamba Komba alikuwa MTU mwema kwa nchi hii. MTU aliyetumia kipaji na karma yake kutetea ufisadi,kudhihaki wenzake nk nitakuwa mnafki kusema mazuri yake. najua haya yanaiumiza sana familia yake na wengineo lakini ndiyo...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Sherehe ya ushindi mkubwa wa CHADEMA Bukoba

    Makamanda,ni kisiwa maarufu sana..mkiulizia tu,mtaelekezwa. karibuni sana
  11. L

    JamiiForums Tanzania Sherehe ya ushindi mkubwa wa CHADEMA Bukoba

    Habari ya Jioni Ndugu Watanzania, Nichukue fursa hii dhahabu kuwakaribisha katika Sherehe ya Kujipongeza kwa wanabukoba kwa ushindi wa kishindo (67%) wa uchaguzi Serikali za mitaa kupitia CHADEMA. sherehe itafanyikia katika Kisiwa cha NYABESIGA (Pemba Ndogo) tarehe 3 Januari 2015(saa 3:30...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Wilfred Muganyizi Lwakatare, Engaju ya Bukoba

    Wilfred Muganyizi Lwakatare a.k.a Engaju ya Bukoba. Alizaliwa 4/Januari/1961 Ibwera, Bukoba katika ukoo wa Abasingo. Alipata elimu katika shule za Katwe, Tambaza Sekondari, Minaki Sekondari, Lutheran Junior Seminary na kisha Chuo Kikuu cha Dsm na kupata Shahada ya Utawala na Mahusiano ya...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Usalama wa Taifa mpo? Nchi inaingia kwenye machafuko mpo kimya?

    Mcfm40..you are smart..umeona mbali tena mbali haswaa. kwa kweli Usalama Wa Taifa wamepoteza dira ya kazi..kazi yao kubwa siku hizi ni kujitapatapa kwamba wao ni Usalama Wa Taifa kwenye mabar na sehemu mbalimbali za starehe. badala ya kumshauri raisi kipindi hiki hatari sana Taifa lijihami...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Tazama Maandamano ya CHADEMA Bukoba yalivyofanyika kwa aman na utulivu

    wewe si mshenzi!!
  15. L

    JamiiForums Tanzania Tazama Maandamano ya CHADEMA Bukoba yalivyofanyika kwa aman na utulivu

    Something is better than nothing.
Back
Top Bottom