Lwakatare: "nina roho ya paka!"

Lwakatare: "nina roho ya paka!"

lovey62

Senior Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
132
Reaction score
112
Makamanda
wakati Wa kuimbiana ngonjera na mashahiri ufike mwisho. CCM ni sikio LA kufa.... Kazi ya kuleta mabadiliko ya kweli inahitaji kujitoa na kuwa na dhamira ya kweli. Haiitaji watu wenye hulka ya kuendekeza njaa. Uzoefu wangu was miaka 19 katika siasa zetu hizi za kienyeji unaonyesha kuwa ulafi ni hulka ya MTU na Si swala linalotokana na umaskini wake. Tanzania asilimia kubwa ya walafi ni wale wenye Mali na kipato kikubwa na anayebisha a evaluate. Harakati zetu hizi zinataka uwe na roho ya paka, tena paka wa porini.
Simtishi MTU lkn ndivyo ilivyo.
Wanaoingia kwenye siasa kichwakichwa,wawe na maono.


Source: Facebook
Wilfred Lwakatare
 
lwakatare huku kanda ya ziwa tunamwamini ni mwanasiasa mwanaharakati tunamkubali sana hata sababu ya kuhama kutoka cuf kwenda cdm ilikua ni baada ya cuf kupoteza umaarufu kabisa huku kwetu kutokana na propaganda za ccm kuwa cuf ni mali ya waislamu
 
Ndugu kiongozi, mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabiashara taifa bwana johnson minja, amefutiwa dhamana na kurudishwa rumande kwa madai kwamba anashawishi wafanyabiashara wafunge biashara. Hivyo ukiwa kama kiongozi mpenda haki na mtetezi wa wanyonge, unaombwa kuwasisitizia wadau wote wa sabato kuwa sabato bado itaendelea kama ilivyokuwa leo. Na sabato hiyo itawahusu waumini wakubwa tu. Na siyo wale wadogowadogo. Unaombwa kutoa ushikiano ili kufanikisha wokovu. Saa ya wokovu ni sasa tetea nafsi yako.
 
Ndugu kiongozi, mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabiashara taifa bwana johnson minja, amefutiwa dhamana na kurudishwa rumande kwa madai kwamba anashawishi wafanyabiashara wafunge biashara. Hivyo ukiwa kama kiongozi mpenda haki na mtetezi wa wanyonge, unaombwa kuwasisitizia wadau wote wa sabato kuwa sabato bado itaendelea kama ilivyokuwa leo. Na sabato hiyo itawahusu waumini wakubwa tu. Na siyo wale wadogowadogo. Unaombwa kutoa ushikiano ili kufanikisha wokovu. Saa ya wokovu ni sasa tetea nafsi yako.

Mkuu vp?? viroba au nn...🙂:-(
 
Mwenzio ananena kwa lugha, wewe huwezi kumuelewa, wenzio tumemuelewa vizuri tu.

Mkuu huyu mtu mwanzo kaanza kama anatoa taarifa...mwishon naona kabadil kabusa maada...
 
Back
Top Bottom